kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,668
- 11,231
Acha kudanganya watu huna chochote unachojua kuhusu bibilia,naona unataka kujilinganisha na Mungu..
Ziongate!.
Mimi ninaposema kitu kwanza napenda kuweka ushahidi. Na kama ushahidi hauhitajiki natumia logic. Na utakuta maongezi yangu kuyapinga ni vigumu.
Unachosema hapa si kweli kwamba mimi najilinganisha na MUNGU!
wala huna ushahidi na hilo.
Huyu rafiki yako maxshimba NI NANI KAMPA NGUVU YA KUPONYA KWA DAMU YA YESU!??
Wote sisi tunajua yesu aliponya kwa nguvu za mungu.
Sasa wacha MAXISHIMBA! niambie kwa ushahidi (sio maneno tu) Nani mwengine kaponya kwa damu ya Yesu tu!?
Ukishindwa kunionyesha. Basi utakubali kuwa
Yesu alilaani mitume WAZUSHI kama huyu. maxishimba. Ambao wanajipa vyeo.
Na biblia hawaijui!
Mimi nampenda yesu. Na sikubali mtu kumsingizia uongo!
Nasubiri jibu!