Nimeipenda hiyo!mwambieni wako zaidi ya milioni 20 kama yeye....
Jamani mnahangaika na tabia yake kwani mnataka kuoa bana?
Katoto kazuri kama kale hakatakiwi kupoteza muda kuchangishachangisha nauli, haka kanafaa sana kujipumzishia huku ukikaondolea shida zake zote ikiwepo nauli ya kwenda na kurudi as long as kanawajibika vizuri na kana tunza siri, mwenye namba yake please.
Nimerejea kwako Tuntu, jana nimemsikiliza Lulu kwenye Clouds TV anasema yeye anapenda mwanaume mrefu lakini asiwe mrefu sanaaa, awe mweupe na kama si mweupe basi awe na weusi wa kung'aa. Pia awe mtu anaye weza kumpa ushauri mzuri kimaisha. Sasaaa Vigezo hivyo unavyo?
Madam T kama una contact za hako katoto kaambie kani PM mimi nitakapa Nauli ya Kwenda na Kurudi Huko Majuu na Malazi pamoja na Pesa za Kupiga misele kipindi chote katakapokuwa kanamtafuta huyo Msela. Kaambie hakapaswi kupata Shida wakati Washefa Wa Mujini to
He! na wewe umo! Natumaini huo udhamini hauna malipo baadaye...
Malipo gani tena Mamii? Mashefa wakitoa huwa hawageuki nyuma LoL! Nahisi Kama mimi ndiyo nitakayekatoa katika Hali kaliyonayo sasa maana kanahitaji zaidi Ushauri sasa mimi ni Mtaalam wa Mambo hayo
Okeeeey! Ngoja nimtafute Zamaradi Mketema akupe mawasiliano yake
huyu mtoto anahitaji zaidi ya ushauri...aibu kwa kweli
hahahahaahha umejuaje hapa mie nnavyojifanya napenda mashairi na nyama ya ulimi kumbeeeeeeeee......unajua!Mnamuonea gere tu mwenzenu, mie nampenda muwazi sana yaani yale ambayo watu wa kawaida huyasema/husemezana na mioyo yao yeye huyasema kwa wengine.
Unajua ungekuwa wewe ungeishia pale kusema unampenda Justin kimuziki halafu ukaweka lifull stop kubwa ila kimoyomoyo ungeendeleza akikaasawa nakula kichwa au sio bi mwanamkasi?
hahahahaahha umejuaje hapa mie nnavyojifanya napenda mashairi na nyama ya ulimi kumbeeeeeeeee......unajua!
Ukiipata ni PM maana Hapa Jamvini Warozi Kibao hawakawii kwenda Front
Usiniambie unawaogopa Tuntu na Masaki