Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Yule msanii wa filamu nchini mwenye sifa ya kuanza mapenzi kwenye umri mdogo ametangaza rasmi kusafiri kwenda majuu kumfuata Justin Bieber.
Lulu ametangaza nia yake hiyo leo wakati akihojiwa katika kipindi cha Leo Tena ya Clouds katika kipengele cha Movie Leo. Nyota huyo amesema kwa sasa anachangisha michango ya nauli ili aweze kufanikisha ndoto yake hiyo ya muda mrefu sana.
Lulu ameweka wazi kuwa anampenda Bieber kiushabiki wa muziki wake lakini pia hatakuwa na kinyongo endapo dogo huyo ataomba mavituz siku watakayokutana.
Lulu ametangaza nia yake hiyo leo wakati akihojiwa katika kipindi cha Leo Tena ya Clouds katika kipengele cha Movie Leo. Nyota huyo amesema kwa sasa anachangisha michango ya nauli ili aweze kufanikisha ndoto yake hiyo ya muda mrefu sana.
Lulu ameweka wazi kuwa anampenda Bieber kiushabiki wa muziki wake lakini pia hatakuwa na kinyongo endapo dogo huyo ataomba mavituz siku watakayokutana.