Mtasema yote kwa kuwa tu mtoto wa watu ni mzuri halafu ni maarufu. Mademu wangapi wa mitaani nao ni majamvi ya wageni lakini hamwajui kwa kuwa wao si maarufu? Na kila siku mnawasalandia bila kujua!
She is above 18 kwa hiyo si mtoto tena!
Huyu binti ni maarufu au "MAHARUFU" maana I guess she has a smell of every man in town
Nimerejea kwako Tuntu, jana nimemsikiliza Lulu kwenye Clouds TV anasema yeye anapenda mwanaume mrefu lakini asiwe mrefu sanaaa, awe mweupe na kama si mweupe basi awe na weusi wa kung'aa. Pia awe mtu anaye weza kumpa ushauri mzuri kimaisha. Sasaaa Vigezo hivyo unavyo?