Jaman Lulu ana mambo!

haka katoto na upuuzi na akili fupi na umaskini wake ni celebrit

bongo haina mwenyewe
 
wasee huku kwetu tayari kwishafunja iyo kiuno yeye natumia kutafuta kujulikana sana.. Hakuna morani wala musee nawesa pita nae maali yoyote maana asabu ya fimpo arubaini itakuwa juu yako.
 
Mtasema yote kwa kuwa tu mtoto wa watu ni mzuri halafu ni maarufu. Mademu wangapi wa mitaani nao ni majamvi ya wageni lakini hamwajui kwa kuwa wao si maarufu? Na kila siku mnawasalandia bila kujua!

She is above 18 kwa hiyo si mtoto tena!

Huyu binti ni maarufu au "MAHARUFU" maana I guess she has a smell of every man in town
 
Nimerejea kwako Tuntu, jana nimemsikiliza Lulu kwenye Clouds TV anasema yeye anapenda mwanaume mrefu lakini asiwe mrefu sanaaa, awe mweupe na kama si mweupe basi awe na weusi wa kung'aa. Pia awe mtu anaye weza kumpa ushauri mzuri kimaisha. Sasaaa Vigezo hivyo unavyo?

Wala usihofu Madam T, kama vigezo ndio hivyo tu basi nina zaidi ya alivyovieleza.
 
Jamani ana pepo la ngono yule,km kuna watumishi wa mungu humu msaidieni msichana mwenzetu.
 
Back
Top Bottom