Jamaa kalambaa dv anataka ushauri

kichaa1972

Member
Feb 12, 2008
7
1
Watz wenzangu jamaa kalamba dv visa pre selected anaombeni mwanasheria anayeweza kumsaidia maana issue imekaa kama mlima kitonga unajua tena sheria za nchi za watu bwana ,
Asanteni
kichaa
 
Watz wenzangu jamaa kalamba dv visa pre selected anaombeni mwanasheria anayeweza kumsaidia maana issue imekaa kama mlima kitonga unajua tena sheria za nchi za watu bwana ,
Asanteni
kichaa
breaking news: awe specific anataka ushauri wa namna gani?
 
Pre Selected, sijawahi kusikia hiyo. Awe mwangalifu isije ikawa wa West wanataka kuingiza mtu mjini.
 
ushauri wa bure huu hapa
LEGAL AGE OF CONSENT

STATE AGE
Alabama 16
Alaska 16
Arizona 18
Arkansas 16
California 18
Colorado 15
Connecticut 15
D.C. 16
Delaware 16
Florida 16/18 (bill pending)
Georgia 16
Hawaii 14
Idaho 14
Illinois 16/17
Indiana 16
Iowa 18
Kansas 16
Kentucky 16 - [1]
Louisiana 17
Maine 16
Maryland 16
Massachusetts 16/18
Michigan 16
Minnesota 16
Mississippi 16 - [2]
Missouri 17
Montana 16
Nebraska 16
Nevada 16
New Hampshire 16/18
New Jersey 16/18
New Mexico 17
New York 17
North Carolina 16
North Dakota 18
Ohio 16
Oklahoma 16
Oregon 18
Pennsylvania 16
Rhode Island 16
South Carolina 14/16
South Dakota 16
Tennessee 18
Texas 17
Utah 16/18
Vermont 16
Virginia 15
Washington 16
West Virginia 16
Wisconsin 18
Wyoming 16
Puerto Rico 18



FOOTNOTES:
[1]Age 16 if the man is 21 or older.
[2]If the female is over 12, the status applies only to virgins.
 
Anataka ushauri wa kisheria bwana.si unajua utata wa mambo haya mwanangu wewe kama kuna mwanasheria wewe tupatie tuhangaike naye
 
najua watz wanjua kufikiria mambo ya utapeli si tanzania hapa jamaa amekula hiyo visa mwanagu anatafuta mwanasheria
 
Anataka ushauri wa kisheria bwana.si unajua utata wa mambo haya mwanangu wewe kama kuna mwanasheria wewe tupatie tuhangaike naye
wewe naawe hueleweki.....msada gani wa kisheria anataka? jinsi ya kupata visa aau nini? hebu weka sawa
pili hio dv yake kama katumiwa kwa email ajue ni famba.......
 
anataka kupata hiyo green card bwana ndoo mambo lottery hayo
aaisee kazi kweri kweri......ni hivi kama li apply yeye mwenyewe naa ktumiw mtokeo kw njia ya posta basi ajue kashinda....na kama kapata ile nofication basi kuna maelezo yote mule ndani cha kufanya hakuna cha mwanasheria wala mhandisi wala form 6 kusaidia hapo.......aende ubalozini atapata maelezo yoote
 
Iko complecated zaidi ya hivyo mwannchi wangu jamaa ako hapa amemaliza shule na vidoiido vyake unatakiwa uwe hivi na vile hapa si unajua vinginevyo angekwenda bila shaka kuchukua bwana
 
Iko complecated zaidi ya hivyo mwannchi wangu jamaa ako hapa amemaliza shule na vidoiido vyake unatakiwa uwe hivi na vile hapa si unajua vinginevyo angekwenda bila shaka kuchukua bwana
mkuu ulifaulu darasa la 7? sikuelewi kabisa una maanisha nini......
 
Nilifaulu la saba na kuendelea sanaaa ansante.
katumiawa kwa njia ya posta amechagulia kwa hiyo green card lakini si unajua mambo ya kubobea hapa umemaliza shule unatakiwa kwenda kwenu kijijini bwana ndoo issue iko hapo
 
Nilifaulu la saba na kuendelea sanaaa ansante.
katumiawa kwa njia ya posta amechagulia kwa hiyo green card lakini si unajua mambo ya kubobea hapa umemaliza shule unatakiwa kwenda kwenu kijijini bwana ndoo issue iko hapo
hongera kwa kufaulu.....
kama nimekuelewa ni kuwa jamaa wako yuko majuu,sindio? so kalamba kijani anataka kuendelea kukaa huko,au ikoje?
 
Huyo jamaa haitaji mwanasheria wala nini, nini asichoweza kujaza kwenye hiyo form, income yake ya mwaka na tax aliyolipa?. Kama hajawahi kwenda US kwa maana hiyo hana SS# kwa hiyo hapo hajazi kitu. Mwambie asijaze habari za kizushi kwenye hizo form, vinginevyo atalala ngoma.
 
Yo Yo
Umeshamuelewa huyo kichaa anataka mwanasheria kwa ajili ya nini hasa?

Nimefuatilia mtiririko lakini inaonekana jamaa kujieleza ni kabla ya namba 1.
 
Nilifaulu la saba na kuendelea sanaaa ansante.
katumiawa kwa njia ya posta amechagulia kwa hiyo green card lakini si unajua mambo ya kubobea hapa umemaliza shule unatakiwa kwenda kwenu kijijini bwana ndoo issue iko hapo

Kichaa1972 Maelezo yako mbona Tata?Ina maana huyo Jamaa yako yupo USA na kacheza Lottery Visa (DV-1) akafanikiwa au vipi?........Kama ni hivyo kwa ujumla hali itakuwa ngumu kidogo! Kutokana na maelezo yako,kama nimekuelewa vizuri ina maana jamaa alimaliza shule yake na baadaye akaishi bila visa,visa yake (F1) inakwisha mara baada ya kumaliza shule.

Kwa ujumla ukiwa ndani ya USA hawa-process hiyo DV-1 visa,akiwasiliana na watu wa Immigration watamshauri arudi kwenye domicile Country ili afanye process huko,kitu kikubwa wanachokiangalia ni vipi uliishi USA,kama hata kwa siku moja uliishi visa ikiwa ime-expire ujue utakuwa disqualified.
Ikiwa ulikuwa unaishi na valid Visa hakuna tatizo watakushughulikia na baadaye utafanyiwa Medical Examination,kulipa visa fee na kuruhusiwa kuingia kwa DV-1 visa.

Ikiwa umepata barua kutoka Visa Center NH ujue kuwa umeshinda..kinachotakiwa ni kutayarisha documents zako na kungoja siku ya appointment Ubalozini...Ifuatilie vizuri hiyo barua kila kitu kimewekwa wazi kwenye barua hiyo.

Jambo muhimu na mara nyingi ni kikwazo kwa wengi, ni lazima umtafute mtu ambaye yupo Marekani atakuwa (Mdhamini) sponsor wako...Kumbuka mtu huyo awe na kipato cha zaidi ya $ 15,000 kwa mwaka ($12,000 Federal poverty line + $3,000)...atakuandikia barua yenye contacts zake na kuwaeleza Ubalozi kuwa utafikia kwake mpaka utakapopata SS# yako.
 
Kwanza kabisa hongera zake Msafiri. Yuko bongo, US au nchi gani?

Amepata barua ya kwanza au ile ya pili inayokuja mwezi mmoja kabla ya interview? I believe the interviews begin in October if this hasn't changed.

Akienda kwenye interview anaweza kuulizwa kuhusu affidavit of support I - 134 (a US based sponsor with tax returns and a fat W2 would settle this, a Tanzanian bank statement is also acceptable I belive, not sure), keep eyes fixed on the visa bulletin, have all your educational credentials (only up to O level certificates, anything more looks nice but is not required) resumes, medical records, birth and marriage certificate(s) as applicable, police certificate saying you are not a criminal (kama upo Dar nenda makao makuu ya home affairs pale mtaa wa Ghana) passport, all their correspondence including the appointment letter, ready

And above all have their $755 at the ready.

Halafu kwa sasa hivi google should this guys friend, doing research, getting all the documents in order etc

Kuna forum wanatoa experience zao za interview hapa

Kama ana maswali specific alete tutafanya some webcrawling pamoja.

Again hongera zake msafiri.
 
Back
Top Bottom