naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,065
Why Jaji mkuu kwenye rufaa ya LEMA? Kesi yake ilikuwa ngumu sana majaji wengine kushindwa?, au kutakuwa na utashi wa siasa ndani yake?
Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi,jaji mkuu ameongezwa baada ya kuongezwa Tundu Lisu kwenye jopo la mawakili wa utetezi!