Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,426
- 92,795
Sasa ndio naelewa ni kwa nini JK alisema ni bora Dr Slaa achaguliwe Urais kuliko Tundu Lisu kuchaguliwa Ubunge, now i know.
Sorry wanabodi hivi hukumu yenyewe itasomwa lini wish u allthe best bro Lema
Turejeshee mbunge wetu wa arusha province..huyu chande c ndo kapenyeza jina The Hague akapigwa chini na Mbeijing wa Gabon? Kuna kazi hapa,ila mungu anatuambia kuwa We will never walk alone.
Mkuu hapa umedanganya....hahahahahBila ya kukosea itasomwa tarehe hii hapa: 20/09/12012 na bila kukosea itasomwa kwa zaidi ya masaa manne!
Huyu chizi alishafukuzwa na makopo yake sioni sababu ya kuendelea kumzungumzia.Hata bzaraza la kata linaweza kusikiliza rufani ya Lema.
hivi ile kesi ya yule jamaa wa mtandao wa wizi wa magari Tanzania kutoka kule arusha bado inaendelea?
Tundu Lissu ni kiboko ni kati ya wanasheria wachache sana duniani ambao sio waoga aliwachana live kitu ambacho kwa upande wa ccm hawakiwezi kabisa
wadau wa JF,
Ninasikiliza kipindi cha magazeti cha RFA nimesikia kuwa jaji Chande atasikiliza kesi ya lema akishirikiana na jaji Kimaro na jaji Masati.
kwa hiyo yule mwanafunzi wa open university ndg Mbarouk Mbarouk kapigwa chini.
kumbe Tundu Lisu alisema kweli.
viva CDM!