Kani Jafarai ndio msemaji wa tanzania?
Amepingana na kauli ya kukataa Fiesta isifanyike Mbeya sasa ni Beef mwanzo mwisho bado wana kisasi cha demu wao Shy Rose Banj Fungua www.hassbaby.blogspot.com au kurasa yake ya Facebook
Promo.......and advertisementtwashukuru kwa thread ila naomba uwe unapakua vyote hapa na sio kutuwekea link ya kwenda kwenye blog yako mkuu...wenzio kwenye blog wanaweka na hapa wanashusha habari yote.ni ombi tu
Promo.......and advertisement
JF itaishia kujaa links tupu..na heading za habari.
Japo ni shabiki wa mr 2 sugu, ila hapa kakurupuka, kama siyo muziki hata yeye asingejulikana.
pawaaaaaaaaAhhhhhh kwani chadema huwa wanakurupuka?usitake kutuchokoza pipooooooozzzzzzzzzzzzzzz muoneni huyu!
Ahhhhhh kwani chadema huwa wanakurupuka?usitake kutuchokoza pipooooooozzzzzzzzzzzzzzz muoneni huyu!