PROFESA KYANDO
Member
- Jul 24, 2012
- 81
- 6
Muda huu.. Wanaelezea umuhimu wa vitambulisho vya taifa na sheria yake.. Na ushauri wao.. Na mhe, lowasa yupo
Muda huu.. Wanaelezea umuhimu wa vitambulisho vya taifa na sheria yake.. Na ushauri wao.. Na mhe, lowasa yupo
malecela anatoa wito kuhmiza serikali zetu za vijij kuandikisha wazelendo.. Tusibaguane kwa itikad za vyama
Unajuhudi Professor ya kutuhabarisha.
Kwanini wasiongelee issue inayotaka kuliua taifa letu UFISADI hasa wa UMEME; labda wao pia wana 10%
Kwanini REAL JOURNALISTS wasiulize swali hilo pia? Achana na Vitambulisho - we are in a doldrums
, umeme sospeter atatuwezesha na ata deal nao papendikula mafisad
hicho kipindi j2 kilikuwa kinarushwa tbc. hizo ni siasa uchwara. kwanini wasitafute watu wa vyama vyote? hazo vitambulisho ni vya ccm?. siku si nyingi hiyo cd itapelekwa cha 10, startv na c2c. tusubili tuone. Mia