benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Unahitaji kitambulisho kinachotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) na una namba pekee? basi mamlaka hiyo imeanza kugawa vitambulisho milioni 18.6 kwa Watanzania wenye namba, kazi itakayofanyika kwa siku 14.
Ugawaji wa vitambulisho hivyo, utahusisha wananchi katika mikoa saba ya Tanzania Bara ambayo ni Arusha, Dar es Salaam, Kilimanjaro, Dodoma, Morogoro, Mbeya na Ruvuma.
Vitambulisho hivyo vinapatikana katika ofisi za vijiji na Serikali za mitaa na vitagawanywa kwa siku 14.
Chanzo Mwananchi
Ugawaji wa vitambulisho hivyo, utahusisha wananchi katika mikoa saba ya Tanzania Bara ambayo ni Arusha, Dar es Salaam, Kilimanjaro, Dodoma, Morogoro, Mbeya na Ruvuma.
Vitambulisho hivyo vinapatikana katika ofisi za vijiji na Serikali za mitaa na vitagawanywa kwa siku 14.
Chanzo Mwananchi