PROFESA KYANDO
Member
- Jul 24, 2012
- 81
- 6
- Thread starter
- #21
Lakini pia ningependa hao Wazuri waulizwe maswali magumu; sio wawe wanabembea na Magari ya kifahari tu kivulini
Unajua hawalijui JUA LA DAR-ES-SALAAM lilivyo kali toka 1985 Nyerere alipostaafu; wao ni kuku kwa Mrija na kucheki
Accounts zinavyoongezeka USWISI; we must hold them accountable some how...
mbona wengine wamekondeana tu kama warioba, malecela.. Ni wa kawaida