fisadigamba
Member
- Jul 20, 2012
- 29
- 4
hivi ni cuf ama cough?
hivi hawa radio imaan ina ugomvi gani na rose muhando mbona hawapigi nyimbo zake?
Data za wapi hizo jamani cuf wanambunge mmoja tu wakuchaguliwa huku bara?, sasa sijui unamzungumzia wa kilwa au lindi mjini? kwani cdm wanawabunge wangapi wakuchaguliwa znz?Eti tishio' yaani chama chenye mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa uku bara alafu kiwe tishio? you ar dreaming my friend.
RIP CUF, RIP Mkigoma
Wewe haujui? cccm si inatajwa sana...sasa unataka nini tena wakati unajua fika kuwa CUF ni ccmBitv kila mara wanahudhuri press conference za cuf pamoja na vyombo vingine lakini cha ajabu huwa hawatoi habari za cuf katika taarifa ya habari na saa nyingine utaona katika screen imeandikwa katika habari za kitaifa lakini huwa haisomwi sijui ni kwanini?
Data za wapi hizo jamani cuf wanambunge mmoja tu wakuchaguliwa huku bara?, sasa sijui unamzungumzia wa kilwa au lindi mjini? kwani cdm wanawabunge wangapi wakuchaguliwa znz?