Is 100kg of stones heavier than 100kg of cotton? Why? How?

Kiranga weee ni Mbishi sana na unapenda tu kuleta Usumbufu wa lugha kwenye hesabu.

Hesabu bwana zina uzuri wake na kwamba huhitaji saana kufahamu lugha.

Ukimfikia mtu wa Hesabu na umwambie "Naomba kilogram ya maji" basi ujuwe atakupa lita moja ya maji.

Unaweza ukabisha kuwa hakuna Kilogram ya maji, Yes katika lugha.

Ila ukiangalia utagundua kuwa Maji yana Volume na Density na hivyo tutapata MASS.

Hii Mass inaweza kuwa katika lita ila tu haitatupa ukweli wa density ya maji na hivyo inabidi tupate uzito wake tuseme katika GRAM na hapo ndiyo tutaweza kupata Density. Huwa imerahisishwa tu kuwa Lita moja ya maji ni kilogram 1. Kwa watengeneza saa, hii aproximation ni kuuubwa sana. Ila kwa mfano katika ujenzi, ni poa kabisa. Ndiyo maana kwenye mahesabu, ukipewa Volume ya maji/liquid basi lazima wakupe na Density yake.

Hivyo usichanganye watu na hivyo vipimo ambavyo binadamu wa kawaida kwa kila siku hawavitumii....

Asante kwa Changamoto hata hivyo..... Ila siku hizi kuna Milli na hadi akina Nano...... kama Transistors za Processor ndani ya hiyo Computer yako.
 
Kiranga weee ni Mbishi sana na unapenda tu kuleta Usumbufu wa lugha kwenye hesabu.

Hesabu bwana zina uzuri wake na kwamba huhitaji saana kufahamu lugha.

Ukimfikia mtu wa Hesabu na umwambie "Naomba kilogram ya maji" basi ujuwe atakupa lita moja ya maji.

Unaweza ukabisha kuwa hakuna Kilogram ya maji, Yes katika lugha.

Ila ukiangalia utagundua kuwa Maji yana Volume na Density na hivyo tutapata MASS.

Hii Mass inaweza kuwa katika lita ila tu haitatupa ukweli wa density ya maji na hivyo inabidi tupate uzito wake tuseme katika GRAM na hapo ndiyo tutaweza kupata Density. Huwa imerahisishwa tu kuwa Lita moja ya maji ni kilogram 1. Kwa watengeneza saa, hii aproximation ni kuuubwa sana. Ila kwa mfano katika ujenzi, ni poa kabisa. Ndiyo maana kwenye mahesabu, ukipewa Volume ya maji/liquid basi lazima wakupe na Density yake.

Hivyo usichanganye watu na hivyo vipimo ambavyo binadamu wa kawaida kwa kila siku hawavitumii....

Asante kwa Changamoto hata hivyo..... Ila siku hizi kuna Milli na hadi akina Nano...... kama Transistors za Processor ndani ya hiyo Computer yako.

Swala lililoanzisha mtafaruku huu halikuwa la hesabu kama lilivyokuwa la lugha na viwango.

A pound of feathers is heavier than a pound of gold. Waliouliza kwa nini wakaonyeshwa wakakubali, wanaopenda ligi wasiokubali kushindwa wanataka kubisha hata bila kuijua "pound" ni nini, na wanakubali hapa kwamba wanabisha bila kujua "pound" ni nini.

Talk about kudandia gari kwa mbele.
 
Is 100 gk of stones heavier than 100 kg of cottons? Why? How?

Kiranga, stop being dumb! Stop asking people dumb questions! Drink KoolAid and chill out dude!
Don't forget to vote for JK and CCM

I never asked that question, look who is dumb now.

Unadandia gari kwa mbele ?
 
tuendelee na sarakasi bandugu mpaka kieleweke kwa hisani ya watu wa marekani
Kwani huko marekani kuna nini cha zaidi ukiacha kubeba boksi?

Is 100 gk of stones heavier than 100 kg of cottons? Why? How?

Kiranga, stop being dumb! Stop asking people dumb questions! Drink KoolAid and chill out dude!
Don't forget to vote for JK and CCM
Corrected! Its 100 kg of stones. It was a typing error! Im sorry for that!
 
This is exactly what is happening, pound zinazotumiwa kupimia dhahabu ni tofauti na pound zinazotumika kupimia mchele, unga na manyoya.

A
pound of feathers (troy pound) is 454 grams ( Hiki ni kipimo tofauti)

A pound of gold (avoirdupois pound) is 372 grams
. (Mpaka unaanza kujichanganya kwenye gold ni Troy hiki vi vipimo kwanza ni obsolete)

Unapinga kwamba vipimo viwili tofauti si sawa, unabishana na convention za waingereza wenyewe.

Next thing you know utabishana na multiplication table.

Sasa ebu fanya hesabu 1 troy pound ni ni swa na avidrious pound ngapi kwanza . nipe jibu then nitakufafanulia.

Anyway ni hivi
Hawajesema specific 1 troy pound ya gold au ya shaba ni 372 grams au 472 grams . Its general one troy pound ni XXX grams. upo hapo?? Hata ikiwa shaba manyonya,uzito wa mtu I troy pound yake itakuwa ni XXX grams.

Wala hawajasema specific 1 avidrious pound ya manyoya au chuma au mchele ni yyy grams. Kwa hiyo elewa kuwa hata ingekuwa gold, chumvi 1 avidrious pound ni yyy grams
Elewa vile vile hivi vipimo vimepitwa na wakati. havitumiki hoja yangu ya msingi ndo ilikuwa hiyo. jaribu kuwa simple.

Dhumuni la communication ni kuwa na common understanding kati ya sender na receiver. Ukiandika kitu ambacho wasomaji hawaelewi ni failure on your part na kwa wasomaji. Hakukuwa na sababu ya kucomplicate swali kwa kutaja mambo ya avidrious pound natroy pound.

Usitumie neno fulani kwa makusudi ili watu wafungue dictionary au kuanza ku google. wakati una wezo wa kutumia mifano rahisi au lugha nyepesi.
kama ni mbwembwe kwenye swali hili ulitakiwa utaje na kufanya mbwembe kwenye terminology kama Density, Volume, Mass labda na gavity. Na ukifanya mbwembwe tumia standad unit.

Naamin duniani popote wanapofundisha physisc topic ya la kwanza ni measurement na SI unit. Ni moja ya njia ya kufanya communication simple.
 
Sasa ebu fanya hesabu 1 troy pound ni ni swa na avidrious pound ngapi kwanza . nipe jibu then nitakufafanulia.
Mi napendekeza wachangiaji wachangie hii topic katika SI units. Kwani kwa mfano sote tunajua kwamba 1 tonne = 1000 kg. Pia hao wanaojiita wamarekani wanatumia 'ton' za namna mbili; ya kwanza wanaiita 'short ton' ambayo ni sawa na 907 kg, na ya pili ni 'long ton' ambayo ni sawa na 1016 kg.
Ushauri: tuchangie kwa kutumia SI units!
 
Mi napendekeza wachangiaji wachangie hii topic katika SI units. Kwani kwa mfano sote tunajua kwamba 1 tonne = 1000 kg. Pia hao wanaojiita wamarekani wanatumia 'ton' za namna mbili; ya kwanza wanaiita 'short ton' ambayo ni sawa na 907 kg, na ya pili ni 'long ton' ambayo ni sawa na 1016 kg.
Ushauri: tuchangie kwa kutumia SI units!

huyu Jamaa namkubali
ila sometiome ana over do, ana complicate simple issues. Na mbaya zaidi hataki/hapendi kukosolewa. au kuwa challenged. Ukichallenge anakuliza who made u chief kumkosoa. Because yeye ni chief wa kuwakosoa wenzake hataki ma chief wengine

Sasa hakujua maelezo aliyoyaweka can be translated and calculated mathematically. Nimemuuliza hizo troy pound alizisoma ni kitabu . Vitabu aina ya encyclopedia ni kama dictionary huwezi kuwekewa mchakato wa kimahesabu.

Anasema source ya knowledge yake hii ya troy pound ni "The Big Book of Answers" Edited by Kevin S. Hile. Sasa kitabu kinaelezea geography, pysics, chemistry,roman empire,sanaa, vita,Liberia etc. yaani kina majibu ya maswali zaidi ya 1000. Vitabu kama hivi ni kwa ajili ya kujikumbusha au kurefresh memory.

Ukitaka si tu kujua bali kuelewa na kuelimika inabidi uende mbali zaidi. Ni bora ange google wich I believe wote tunafanya . Ku google neno "Mass, Density and Volume" utapata article zenye ufafanuzi wenye detail nyingi tu. kuhusu swali hili

Ni sababu hana base ya subject alivyo google sijui kwa kutumia maneno gani kila kilichokuja kauchukua kizima kizima. Kama ana base nzuri basi ni complicator anafurahia kutumia vimaneno vya ajabu ajabu na kuvitumia pasipo kuvielewa .
 
I have asked a friend of mine "which is heavier between a 100 kg of stones and 100 kg of cotton (pamba)".

I asked him again does 100 kg of stone weigh heavier that 100 kg of cottons? He insisted yes!

It depends on whether the two of you were talking as physicists or just as laymen. In layman terms, the word 'heavier' can mean either "relatively great weight" or "relatively high density". And the fact that in your question you specifically say the two are both 100Kg ("weight" or "mass" to be pricise) then it was logical for him/her to think you refer to density and not mass or weight!

Arguably, I think your friend was correct on the first version of the question, but went wrong on the second version (probably you both thought it was the same question but strictly speaking you asked two different questions!).
 
Ni sababu hana base ya subject alivyo google sijui kwa kutumia maneno gani kila kilichokuja kauchukua kizima kizima. Kama ana base nzuri basi ni complicator anafurahia kutumia vimaneno vya ajabu ajabu na kuvitumia pasipo kuvielewa .
akikusikia hapo sasa, hahahaha...ngoja anapiga jalamba...ameenda kusoma tena kitabu chake....tumsubiri!
 
And the fact that in your question you specifically say the two are both 100Kg ("weight" or "mass" to be pricise) then it was logical for him/her to think you refer to density and not mass or weight.
If 100 kg of stones is denser than that of 100 kg of cottons. So, is it true that if you take the two and placed them in water...stones will sink first before cottons (provided they have same mass of 100 kg)?
 
If 100 kg of stones is denser than that of 100 kg of cottons. So, is it true that if you take the two and placed them in water...stones will sink first before cottons (provided they have same mass of 100 kg)?

Yes!
 
huyu Jamaa namkubali
ila sometiome ana over do, ana complicate simple issues. Na mbaya zaidi hataki/hapendi kukosolewa. au kuwa challenged. Ukichallenge anakuliza who made u chief kumkosoa. Because yeye ni chief wa kuwakosoa wenzake hataki ma chief wengine

Sasa hakujua maelezo aliyoyaweka can be translated and calculated mathematically. Nimemuuliza hizo troy pound alizisoma ni kitabu . Vitabu aina ya encyclopedia ni kama dictionary huwezi kuwekewa mchakato wa kimahesabu.

Anasema source ya knowledge yake hii ya troy pound ni "The Big Book of Answers" Edited by Kevin S. Hile. Sasa kitabu kinaelezea geography, pysics, chemistry,roman empire,sanaa, vita,Liberia etc. yaani kina majibu ya maswali zaidi ya 1000. Vitabu kama hivi ni kwa ajili ya kujikumbusha au kurefresh memory.

Ukitaka si tu kujua bali kuelewa na kuelimika inabidi uende mbali zaidi. Ni bora ange google wich I believe wote tunafanya . Ku google neno "Mass, Density and Volume" utapata article zenye ufafanuzi wenye detail nyingi tu. kuhusu swali hili

Ni sababu hana base ya subject alivyo google sijui kwa kutumia maneno gani kila kilichokuja kauchukua kizima kizima. Kama ana base nzuri basi ni complicator anafurahia kutumia vimaneno vya ajabu ajabu na kuvitumia pasipo kuvielewa .

Bottom line ni kwamba, kuna knowledge kwamba pound zinazotumiwa kupimia dhahabu na vito vingine vya thamani si sawa na pound zinazotumiwa kupimia unga.

Niliangalia thread nikaona swali lina mtego wa kitoto, nikalijibu swali kama walivyosema wadau wengine kwa kutumia SI Unit kwamba kilo mia ni kilo mia, haijalishi za nini.

Nikaona kitu kipya ambacho hakikusemwa na wenzangu, au ambacho inawezekana kisijulikane kirahisi katika hii trivia, ni hiki cha pound za dhahabu na vito kuwa kipimo tofauti na pound za unga na vitu vingine.

Hivi ndivyo uchangiaji wa kujuzana unavyokwenda nduguzanguni.Leo hii kuna watu hawakujua hili wamejua, recession hii mtu anaweza kujipimia vidhahabu vyake nyumbani akaona ounces fulani, akaenda kuviuza akaambiwa ounces tofauti, akazua kichekesho.

Sasa nduguzanguni mtu akitafuta kitu chenye an interesting twist ili kuepa kila mtu ku focus kwenye swali la kitoto lililokwishajibiwa, mnamwita majina mengi. Hatuendelei hivyo. Tunaendelea kwa kutafuta vitu vipya ambavyo havijasemwa hapa, sio kwa kutoa jibu lile lile mara mia.

Kuna watu wenye akili mgando hawaamini kwamba thread ina evolve, inaweza kuanzia na swali la 100kg of cotton and 100 kg of stones halafu ikaenda kwenye pounds of gold vs pounds of feathers. Active mind inatafuta exploration, dormant mind inataka kukaa inside the box siku zote.
 
From little I can remember about physics, I would say, 100kg of stones is equal to 100kg of cotton as far as the weight is concerned.

However, the measurement in mass of the two objects would not be equal, so is their densities and volumes.
Steve Dii, did you mean to say that; 100kg of stones is equal to 100kg of cotton as far as the mass is concerned?

However, the measurement in weight of the two objects would not be equal, so is their densities and volumes.

Note:

  1. Mass - In physics, the mass of an object is the amount of physical matter that it has.
  2. Weight - The weight of a an object(s) is how heavy they are. Weight of a body is governed by a gravitaional force (g = approx. 9.81 m/s2)

Mass of a body will remain constant when measured at any point while weight of a body varies relatively with respect to the relative position!
 
If 100 kg of stones is denser than that of 100 kg of cottons. So, is it true that if you take the two and placed them in water...stones will sink first before cottons (provided they have same mass of 100 kg)?


density is mass over volume ............so the answer is not yes, but will depend on the volume of stone and cottons per that 100 kg mass.

if they have the same volume (cotton being tightly packed to get the same volume as 100kg of stone) and the same mass then it means they have the same density.
 
From little I can remember about physics, I would say, 100kg of stones is equal to 100kg of cotton as far as the weight is concerned.

However, the measurement in mass of the two objects would not be equal, so is their densities and volumes.

Mass ni kipimo cha matter, inakuwa measured in Kg, sasa utasemaje measurement ya mass haitakuwa equal wakati ushaambiwa measurement ya mass ya vyote viwili ni 100 kg ?
 
density is mass over volume ............so the answer is not yes, but will depend on the volume of stone and cottons per that 100 kg mass.

if they have the same volume (cotton being tightly packed to get the same volume as 100kg of stone) and the same mass then it means they have the same density.
Hapa mkuu nimekukubali! Maelezo yako yamesimama! Nimependa 'assumption yako'....
 
Mass ni kipimo cha matter, inakuwa measured in Kg, sasa utasemaje measurement ya mass haitakuwa equal wakati ushaambiwa measurement ya mass ya vyote viwili ni 100 kg ?
This is to say that 100 kg of stone will have the same mass as that of 100 kg of cottons wether in Dar or Dom but the two will have different 'weight' provided that Dar and DOm have different force of gravity!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom