Nimekwambia ubalozini huwa Kuna waambata wa kijeshi,wanajeshi kufanya kikao ubalozini kwao siyo tatizo,acha ujinga
Nazungumzia wanajeshi wa Iran waliokuwa katika eneo la ubalozi wa Iran uliopo Damascus karibu na nchi ambayo imekuwa ikishambuliwa na wanamgambo wanaoratibiwa na Iran hiyohiyo.

Hapa sizungumzii ubalozi in general kama ubalozi mwingine wowote duniani.
 
Wameonesha runway ya uwanja hawakuonesha airbase nzima.
Bali runway peke yake.
Lakini vyanzo kutoka Iran vinadai bila uthibitisho kwamba airbase imeshambuliwa yote kwa ujumla na haifai tena kwa matumizi yake? Unakubaliana na hayo madai?
 
Jinga kabisa, Afrika tunahusika na tutaathirika vipi na huo upuuzi wao?
Magufuli alipowaambia muanze kujitegemea hamkumuelewa?
Mna sababu ipi muhimu inayowafanya kuwa tegemezi?
Acha Watwangane tu heshima iwepo maana kuna wanaojiona ni viranja na wamiliki wa dunia
Umeishia darasa la ngapi wewe!!! Hii ni aibu kubwa Sana kuandika kitu asichokijua... Nenda waulize wenye Akili je kama middle east yote itasimama Kwa usafirishaji itakuaje Kwa Africa?
 
Lakini vyanzo kutoka Iran vinadai bila uthibitisho kwamba airbase imeshambuliwa yote kwa ujumla na haifai tena kwa matumizi yake? Unakubaliana na hayo madai?
Nipo katikati.
Kwa sababu hata Israel hajatoa uthibitisho wa kuonesha airbase inafanya kazi,badala yake karusha vid ya runway.
Nipo katikati.
 
Shida hata mihogo itapanda bei maana mafuta yakipanda wafanya biashara fursa utasikia mafuta bei juu na mihogo juu :p
Tunaandamana maama mihogo inalimwa Kilwa road huku 😁 haitokei uarabuni
 
Ujasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.

Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.

Baada ya mashambulio ya jana mpaka kwenye kambi za jeshi za Tel Aviv, Iran imesema mpaka hapo imefunga ukurasa wake wa mwanzo wa vita.

Inasubiri iwapo Israel itajibu na wao waendeleze ukurasa mwengine mpana zaidi


NAWEKA KAMBI HAPA. HUWA TUNAKIMBIA BAADAYE. MI NITAKUITA
 
Ujasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.

Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.

Baada ya mashambulio ya jana mpaka kwenye kambi za jeshi za Tel Aviv, Iran imesema mpaka hapo imefunga ukurasa wake wa mwanzo wa vita.

Inasubiri iwapo Israel itajibu na wao waendeleze ukurasa mwengine mpana zaidi
Baadaye usije kutulilia ooh! wanaua wanawake na watoto. Moto ukiwaka uendelee kushangilia vivyo hivyo.
 
Tulia dogo kamikaze drones zaid ya 100 zipo hewani saahizi zinaelekea Tel aviv subiri majibu. Hizo hazitunguliwi na kima yeyote .saahizi ndege ya Netanyahu imeondoka Jerusalem
Mkuu Kamikaze drone bado hazijafika?
wewe bata si mlisema iran hata jibu tulieni hivo hivo kama panya kwenye mahandaki
Kumbuka Israel bado hajarudisha shambulizi, kumbuka Iran haina Iron Dome Israel wakituma makombora 300 yote yanapiga Tehran
 
Kwa hiyo sasa hivi mkuu wa jeshi la Tz akienda Kenya haruhusiwi kwenda kwenye ubalozi wa Tz?
Mfano wako hauna uhalisia na kile kinachoendelea Mashariki ya Kati.

Mfano wako ulipaswa kuwa hivi:
Endapo Tanzania ingekuwa inaratibu mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Congo [Brazzaville], halafu Tanzania ipeleke wanajeshi kwa mshirika wake D.R.C. ili wakafanye kikao kwenye ubalozi hapo Kinshasa karibu na mpaka wa Congo [Brazzaville] inayoshambuliwa mara kwa mara, unafikiri Congo [Brazzaville] ingechukua hatua gani?

Haya uliza tena.
 
Mwisho wa Iran unakuja muda mfupi. Iran ilikuwa kikwazo kwa nchi za magharibi hapo middle east sasa naona wamagharibi walishapata sababu ya kuiangamiza Iran.
Iran inaenda kubutuliwa kama Iraq na haitasimama tena pia natural resources zao zitamilikiwa na makampuni ya magharibi.
Magharibi wanaenda kuweka kibaraka wao aiongoze iran
Russia akiwa wapi? Hapo maadui wa magharibi watatoa support vizuri tu endapo Marekani akijiingiza
 
Back
Top Bottom