Nazungumzia wanajeshi wa Iran waliokuwa katika eneo la ubalozi wa Iran uliopo Damascus karibu na nchi ambayo imekuwa ikishambuliwa na wanamgambo wanaoratibiwa na Iran hiyohiyo.Nimekwambia ubalozini huwa Kuna waambata wa kijeshi,wanajeshi kufanya kikao ubalozini kwao siyo tatizo,acha ujinga
Lakini vyanzo kutoka Iran vinadai bila uthibitisho kwamba airbase imeshambuliwa yote kwa ujumla na haifai tena kwa matumizi yake? Unakubaliana na hayo madai?Wameonesha runway ya uwanja hawakuonesha airbase nzima.
Bali runway peke yake.
Umeishia darasa la ngapi wewe!!! Hii ni aibu kubwa Sana kuandika kitu asichokijua... Nenda waulize wenye Akili je kama middle east yote itasimama Kwa usafirishaji itakuaje Kwa Africa?Jinga kabisa, Afrika tunahusika na tutaathirika vipi na huo upuuzi wao?
Magufuli alipowaambia muanze kujitegemea hamkumuelewa?
Mna sababu ipi muhimu inayowafanya kuwa tegemezi?
Acha Watwangane tu heshima iwepo maana kuna wanaojiona ni viranja na wamiliki wa dunia
Nipo katikati.Lakini vyanzo kutoka Iran vinadai bila uthibitisho kwamba airbase imeshambuliwa yote kwa ujumla na haifai tena kwa matumizi yake? Unakubaliana na hayo madai?
Tunaandamana maama mihogo inalimwa Kilwa road huku 😁 haitokei uarabuniShida hata mihogo itapanda bei maana mafuta yakipanda wafanya biashara fursa utasikia mafuta bei juu na mihogo juu
Sasa umeleta maelezo nusu nusu halafu unaombwa details nzima unasema natafutiwa, basi sawa mkuu ngoja tuone hayo mabomu uliyosema tuyatafute.Usipende kutafutiwa kila kitu ingia X
Mrusi huyu huyu aliyesema vita yake ile itadumu masaa 72 na mpaka leo anahangaika?Urusi kasema ataiunga mkono Iran kama kutazuka vita baina ya Israel na Iran.
Nimeishia la pili B.Umeishia darasa la ngapi wewe!!! Hii ni aibu kubwa Sana kuandika kitu asichokijua... Nenda waulize wenye Akili je kama middle east yote itasimama Kwa usafirishaji itakuaje Kwa Africa?
Hamas wamemfanya awe kichaa kabisa.Netanyahu uwa ni mweu kabisa ngoja tuone
Anafurahisha kweli jamaaKwanza futa hilo jina lako, uitwe Ayatollah au Juma Lokole then uanze kuitetea Iran, hatukuelewi Sir John Roberts wa wapi wewe?
Kafungue uzi wa ukraine uone anavyotandikwa.Mrusi huyu huyu aliyesema vita yake ile itadumu masaa 72 na mpaka leo anahangaika?
Ujasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.
Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.
Baada ya mashambulio ya jana mpaka kwenye kambi za jeshi za Tel Aviv, Iran imesema mpaka hapo imefunga ukurasa wake wa mwanzo wa vita.
Inasubiri iwapo Israel itajibu na wao waendeleze ukurasa mwengine mpana zaidi
Baadaye usije kutulilia ooh! wanaua wanawake na watoto. Moto ukiwaka uendelee kushangilia vivyo hivyo.Ujasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.
Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.
Baada ya mashambulio ya jana mpaka kwenye kambi za jeshi za Tel Aviv, Iran imesema mpaka hapo imefunga ukurasa wake wa mwanzo wa vita.
Inasubiri iwapo Israel itajibu na wao waendeleze ukurasa mwengine mpana zaidi
Mkuu Kamikaze drone bado hazijafika?Tulia dogo kamikaze drones zaid ya 100 zipo hewani saahizi zinaelekea Tel aviv subiri majibu. Hizo hazitunguliwi na kima yeyote .saahizi ndege ya Netanyahu imeondoka Jerusalem
Kumbuka Israel bado hajarudisha shambulizi, kumbuka Iran haina Iron Dome Israel wakituma makombora 300 yote yanapiga Tehranwewe bata si mlisema iran hata jibu tulieni hivo hivo kama panya kwenye mahandaki
Iran ilikuwa lazima ijibu, Israel ilivuka mpakaIran hawezi kurusha jiwe. Kipute kitapigwa balaa. Israel ni mboni ya jicho la US, sio Ukraine yule.
Mfano wako hauna uhalisia na kile kinachoendelea Mashariki ya Kati.Kwa hiyo sasa hivi mkuu wa jeshi la Tz akienda Kenya haruhusiwi kwenda kwenye ubalozi wa Tz?
Russia akiwa wapi? Hapo maadui wa magharibi watatoa support vizuri tu endapo Marekani akijiingizaMwisho wa Iran unakuja muda mfupi. Iran ilikuwa kikwazo kwa nchi za magharibi hapo middle east sasa naona wamagharibi walishapata sababu ya kuiangamiza Iran.
Iran inaenda kubutuliwa kama Iraq na haitasimama tena pia natural resources zao zitamilikiwa na makampuni ya magharibi.
Magharibi wanaenda kuweka kibaraka wao aiongoze iran
Wanatuma sa ngapi 🤣Mkuu Kamikaze drone bado hazijafika?
Kumbuka Israel bado hajarudisha shambulizi, kumbuka Iran haina Iron Dome Israel wakituma makombora 300 yote yanapiga Tehran