Ahahaha,kutengeneza trend nyingine tofauti na ile ya Iran kutumia vyuma toka Tehran mpaka TelAviv
Wakati kajificha nyuma ya marekani na uingereza, France,Hadi Jordan kamsaidia kutungua drones...hao wabwekaji tu wakimtegemea USADu, wanadamu tuna matatizo. Kanywea tena. Wakati Vita bado haijaanza. Usiombe majibu ya Israel. Hali itakuwa mbaya. Pray for peace. Tutaathirika wote
Yamepiga na kuharibu kambi kubwa ya jeshi la anga ,pia matokeo ya shambulizi hili yatadumu kwa muda mrefu kati ya hizo nchi mbili.Hayo yaliyopenya yameleta madhara gani ukilinganisha ni kile kilichofanywa na Israel pale ubalozini Damascus?
Military base imechakaa,haiwezi Fanya kazi Tena,cruise missiles 7 zimetuaSawa mama, Impact ya shambulio la Iran kwenye Military base ya Israel ni ipi?
Danadana hizo hazikutarajiwa kuwa ni baina ya Israel na nchi yoyote nyengine duniani.Vita si mpira wa miguu kwamba ukipigwa upande wako nawe unarudisha upande wa mpinzani, yumkini hata mpira wenyewe kuna wakati unaweza kuurudisha kwa golikipa ili mpange mashambulizi upya. HIvo mpaka hapa sijaona kuufyata
Hahaha.....Wavaa kobazi mnajichekesha.🤣 na Mudy pia atakuwa amefurahi sana kule akheraMilitary base imechakaa,haiwezi Fanya kazi Tena,cruise missiles 7 zimetua
lakini mda wa kubet si unaoNataman kuzielewa ila ndo hvo nakosa mda wa kujifunza
Jinga kabisa, Afrika tunahusika na tutaathirika vipi na huo upuuzi wao?Marekani wamesihi Israel isijaribu kulipa kisasi kwasababu wakifanya hivyo mzozo utakuwa mkubwa mashariki ya kati.. natamani hii vita iishe maana kama kutatokea malipizi dhidi ya Iran huku Africa ndiyo waathirika wa kilakitu kwenye vita hii
Inaonekana wewe ni mgeni kwenye hii mijadala. Tumeujadili humu huo ubalozi hapo Damascus takribani wiki moja sasa.We jamaa uelewa wako mdogo sana....Jamani wemgine someni tu comments za wajuvi wa mambo ili mpanue maoblangata yenu... Kwausichofahamu Israel na Syria ni km Namanga TZ na Namanga KE... Ata kwa mguu unafika....Pili Diplomatic premises (ubalozi) hua haushambuliwi lile ni jengo tu halina threat yoyote sasa Israel kushambulia Jengo nayo nimafanikio kwako kweli?? Ebu jaribu kupitia military blogs za kimataifa ujifunze kitu.... Israel analindwa kwa gharama kubwa sana na US...bila US/UK/France na Jordan leo ingekua ni kilio kikubwa kwa Israel.... Jiulize Iran imeishambulia Israel lakini US president na baraza lake la usalama wamekaa kujadili as if US ndo kashambuliwa....
Ubalozi huwa na waambata wa kijeshi,ni kawaida,ubalozi haushambuliwi kwa sheria za kimataifa,hapa umeendelea kuonesha ubongolala wako tenaInaonekana wewe ni mgeni kwenye hii mijadala. Tumeujadili humu huo ubalozi hapo Damascus takribani wiki moja sasa.
Kilichoshambuliwa ni mkutano wa majenerali na maafisa wengine wa kijeshi katika maeneo ya ubalozi. Wewe unadai Israel imeshambulia jengo?!
Wanajeshi walikuwa wakifanya nini katika eneo la ubalozi unaopakana na nchi wanayoirushia maroketi mara kwa mara?
Wanajeshi ndio wamekuwa mabalozi ama wanadiplomasia siku hizi?!
Kambi ipi unayosema? Ni hiyo Nevatim Airbase ambayo media mbalimbali zinaonesha F-35s zikiendelea kutua na kupaa?Yamepiga na kuharibu kambi kubwa ya jeshi la anga ,pia matokeo ya shambulizi hili yatadumu kwa muda mrefu kati ya hizo nchi mbili.
Na pia shambulizi hili litaifaidisha Iran kimkakati.
Kwa hili shambulizi litaifanya Israel ianze kujifikiria mara 2 kabla ya kushambulia masilahi ya Iran tofauti na mwanzo.
Kiufupi hili shambulizi litaifaidisha Iran kwa muda mrefu.
Busara inahitajika sana kumaliza mzozo huo.Ujasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.
Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.
Baada ya mashambulio ya jana mpaka kwenye kambi za jeshi za Tel Aviv, Iran imesema mpaka hapo imefunga ukurasa wake wa mwanzo wa vita.
Inasubiri iwapo Israel itajibu na wao waendeleze ukurasa mwengine mpana zaidi
Mbona umeropoka sana!?Ujasiri wa kurusha makombora hewa!! Wangetuma wanajeshi tuone huo ujasiri! Hatushabikii vita ila hawa waarabu na waajemi waliokuzwa ktk imani ya chuki ya kidini dhidi ya wanaowaita makafiri wanadekezwa sana na wayahudi na wazungu, dawa yao ingekuwa kuwajibu wanachokifanya kutofuata sheria za kivita ndiyo wataacha ujinga wa kubagua dini za wenzao na kuwaona wenye imani tofauti hawapaswi kuishi duniani au wakiishi wawe watumwa wao tu.
Wameonesha runway ya uwanja hawakuonesha airbase nzima.Kambi ipi unayosema? Ni hiyo Nevatim Airbase ambayo media mbalimbali zinaonesha F-35s zikiendelea kutua na kupaa?
Israel inashambulia maslahi ya Iran hapo Lebanon wakati huu ninapoandika andiko hili.
Soma vizuri sheria za kimataifa zinazohusu masuala ya vita (International Law). Ubalozi unaweza kupoteza kinga ya kutambulika kama eneo la kiraia endapo utatumika kijeshi na kwa maslahi ya jeshi.Ubalozi huwa na waambata wa kijeshi,ni kawaida,ubalozi haushambuliwi kwa sheria za kimataifa,hapa umeendelea kuonesha ubongolala wako tena
Nimekwambia ubalozini huwa Kuna waambata wa kijeshi,wanajeshi kufanya kikao ubalozini kwao siyo tatizo,acha ujingaSoma vizuri sheria za kimataifa zinazohusu masuala ya vita (International Law). Ubalozi unaweza kupoteza kinga ya kutambulika kama eneo la kiraia endapo utatumika kijeshi na kwa maslahi ya jeshi.
Ndo maana yake.So wameharibu Military base ya Israel?
Kwa hiyo sasa hivi mkuu wa jeshi la Tz akienda Kenya haruhusiwi kwenda kwenye ubalozi wa Tz?Inaonekana wewe ni mgeni kwenye hii mijadala. Tumeujadili humu huo ubalozi hapo Damascus takribani wiki moja sasa.
Kilichoshambuliwa ni mkutano wa majenerali na maafisa wengine wa kijeshi katika maeneo ya ubalozi. Wewe unadai Israel imeshambulia jengo?!
Wanajeshi walikuwa wakifanya nini katika eneo la ubalozi unaopakana na nchi wanayoirushia maroketi mara kwa mara?
Wanajeshi ndio wamekuwa mabalozi ama wanadiplomasia siku hizi?!
Masilahi ya Iran ndani ya Lebanon ni yapi?Kambi ipi unayosema? Ni hiyo Nevatim Airbase ambayo media mbalimbali zinaonesha F-35s zikiendelea kutua na kupaa?
Israel inashambulia maslahi ya Iran hapo Lebanon wakati huu ninapoandika andiko hili.