sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,022
- 5,254
Iphone 4 locked to softbank Japan vipi inaweza kuwa unlocked mzee?+TMobile ya country gani?zina tofauti ya bei kutokana na nchi,
Iphone 4 locked to softbank Japan vipi inaweza kuwa unlocked mzee?+TMobile ya country gani?zina tofauti ya bei kutokana na nchi,
Ukraine....nchek 0718969767...+TMobile ya country gani?zina tofauti ya bei kutokana na nchi,
nina 4s ilizima baada ya jailbreak kama vp nichekMsaada wakuu nina iphone 4s ni juzi npo kwny shghl zng mara vinyunyu vya mvua ktk hrkat za kujisitiri baadh ytyr yameifikia xm cjakaa hta dkk2 kioo naona rangi yazambarau kumpelekea fundi anaseama kioo kimepga shot ila ndni haijaigia maji so Inabid kibadilishe so jwa aliyrnielewa naitaj ushaur juu ya hili!!!!!!!
Alichouliza yeye ni kushare kupitia whatsapp, mkuu kujail break iPhone lazima upige ishara ya msalaba, sio kama android devies ambazo ni rahisi sana kuroot, wengi wanaojail break iPhone ni geeks lakini sio watumiaji wa kawaida kama kwenye android kila mtu siku hizi anaweza kuiroot simu yakeHata nyimbo unaweza share kwa kutumia third party app eg shareapp lite ambapo utaweza kutuma muziki uliopo kwenye music storage... Au kama umejail break ukiinstall whatsapp+ Inakubali na unatuma miziki iliyopo kwenye music storage
Mkuu, hivi umewahi hata kutumia Apple devices au unaongea tu, na kama umewahi kutumia unajua ni nini kilikupelekea ukanunua?apple apple apple sijaona uzuri wake hadi leo, Samsung edge 6+ utasahau utumbo wa apple
Kuuona uzuri si mpaka uujue. Kujua vizuri ni kipaji ujue. We kaa na tu na misamsung yako waache wazee wa tunda wafurahie technology. Halafu huku tunajadili kuhusu tunda unakuja na habari zako za macho madogo. Samsung, tecno, huawei, ftg ndo class moja achana na hawa jamaa wa tunda(apple) wanatisha.apple apple apple sijaona uzuri wake hadi leo, Samsung edge 6+ utasahau utumbo wa apple
Akaanzishe thread yake ya edge samsungKuuona uzuri si mpaka uujue. Kujua vizuri ni kipaji ujue. We kaa na tu na misamsung yako waache wazee wa tunda wafurahie technology. Halafu huku tunajadili kuhusu tunda unakuja na habari zako za macho madogo. Samsung, tecno, huawei, ftg ndo class moja achana na hawa jamaa wa tunda(apple) wanatisha.
ko kwenye hii thread kila mtu anatimia iphone??Akaanzishe thread yake ya edge samsung
Iphone 4 locked to softbank Japan vipi inaweza kuwa unlocked mzee?
Mkuu, hivi umewahi hata kutumia Apple devices au unaongea tu, na kama umewahi kutumia unajua ni nini kilikupelekea ukanunua?
Mchina?snap shoot ya saa 11 asubui charge 29% itakua ya kichina TU.
nitapata sehemu gani wanapouza iphone mwanzaBadili battery, zima apps ambazo hutumiii
Nenda kwenye hii link 100% sure not scam ila nimefatilia T mobile ukraine cjaipata.Ukraine....nchek 0718969767...
Mchek Ibra au niPm nikuelekezenitapata sehemu gani wanapouza iphone mwanza