Mkuu kua muungwana basi ndugu yetu anaomba msaada tumsaidie jamaa sio kuleta masihara na kama huna cha kuchangia kaa pembeni wachangie wenye uzoefu sio mna criticize mambo ya msingi,kuuliza sio ujingaMmmh pole sana...sasa kama hii lugha ya taifa inakupa tabu na usahili utakuwa kwa kingereza nina mashaka na wewe.. Nilitegemea mifano yako kwenye maandishi iegemee zaidi kwenye fani yako lakini umeenda kwenye lugha ya kichina....duh...Kwahiyo unamaanisha ili uielewe balance sheet hatua ya kwanza ni kuikariri balance sheet halafu utaelewa baadae..,mayb kazini.. Hukufanya practical field..,? ulijifunza nini kule..?
tehee tehee, simple like that, wanahitaji watu mia, wameitwa kwenye interview watu zaidi ya elfu moja.Kaka nenda internet then google, common interview questions. Swali la 1. Tell us a bit about yourself. Eleza story yako ambayo inauhusiano na kazi unayoomba si lazima ueleze kila kitu. Labda shuleni ulikuwa ktk cluba ya hesabu, au kamati ya maadili nk. Chuoni? 2 Untategemea kuwa wapi miaka 5 ijayo? 3 Kwanini unataka kufanya kazi na sisi? Eleza kama ni fani uliyosomea au unaipenda nk.
Oh my God... adn we talk of integrity, serikali imeiamini bodi, bodi imewapa sataffs wake na staff wanagawa maswali... badae tunailaumu serikaliNimempa point za kusoma'kwani Nbaa ndio wameombwa kutunga paper.Nina mdau kanipa point hizo toka Mhasibu House.ukifaulu unaenda oral kisha computer .
Mkuu kua muungwana basi ndugu yetu anaomba msaada tumsaidie jamaa sio kuleta masihara na kama huna cha kuchangia kaa pembeni wachangie wenye uzoefu sio mna criticize mambo ya msingi,kuuliza sio ujinga
Swaiba Mzee wa MSD VP?Si unajua Desa linawaongezea Vijana Ma-Confidence wakija Kazini tutawafunza KAZI,mbona vyuoni hawana walimu au walimu wapo busy na Ma-research na Ma-consultancy!Mie Mkweche tena leo nimepokea Wakaguzi wa Ndani wa MOH! Ndio mana nimemkumbusha kazi za Ma-InernalOh my God... adn we talk of integrity, serikali imeiamini bodi, bodi imewapa sataffs wake na staff wanagawa maswali... badae tunailaumu serikali
Tuna matatizo makubwa
interview ilikuwa ya pepa , kama mtu anajua kutoka ni rahic lakin watahiniwa weng hawakujiandaa vizur kwa nilivyoona mm , mana hata nami ilinichapa ila kama ningekuwa na tabia ya kujisomea pepar was fair. Naomba mwenye ule mtihan ani PM na kunipatia kwa future references
mmh wabongo kwa madesa..,nenda kwenye interview wakakupime uwezo wako tumechoka na wataalamu wa kukariri wametuletea hasara kubwa sana ndo hao hao wanaopitisha bahasha ili mambo yao yakae sawa....
Ona maisha yetu waTZ yalivyo magumu utadhani hatuna wataalamu..,wachumi kibao wanamaliza vyuo vikuu kila mwaka ila kwasababu wanakariri huko vyuoni na kwenye interview wanaomba msaada kama wewe hata wakienda ofisini hawana jipya elimu yao inabaki kwenye vyeti.
Tena naomba hao jamaa kwenye interview wachukue wataalamu wazuri na wenye uzalendo..