Inflammatory: CHADEMA hawako kwa maslahi ya taifa, they are just another tool

Hebu achaneni na hizi ngonjera za nccr na cuf,....
Siasa za chadema zimewagusa watanzania, ndo maana wanawakubali na kuwaunga mkono, .............
Inaonekana hujui ama unajribu kupotosha watu, cdm bado inaratibu kufanya maandamano ya nchi nzima kupinga malipo ya dowans, kama hujui hilo sijui we uko nchi gani.

Mkuu,
Nimesubiri kwa muda mrefu sasa maandamano ya kupinga kuchakachuliwa kwa kura....sasa bado CDM inajaribu? Nitasubiri hayo yatakayoitishwa na CDM....kwa vile uko jikoni, jee tutasubiri muda mrefu au mchache mkuu?
 
Kwani kuungana ni lazima! Chadema wana haki ya kukubali au kukataa muungano na CUF coz wana sera tofauti! Kwa hiyo siyo lazima kuungana! ubaya uko wapi hapo? Kwani CUF wakiungana na Chadema ndiyo CUF itaipinga serikali kwa mambo ya msingi? Hata nje ya muungano CUF wanaweza kuipinga serikali kwa manufaa ya kitaifa siyo kutengemea muungano na chadema. MASLAHI YA TAIFA HAYAKO KWENYE MUUNGANO WA CUF NA CHADEMA, YAPO KWENYE UELEWA WA WABUNGE WETU! Kama hawaelew maslahi ya taifa ni yapi hata huo muungano unaousemea ni sifuri. Kwa hiyo msitake kukichafua chama kingine sababu ya muungano, Tunachohitaji ni nguvu ya hoja bungeni wala siyo muungano kwanza, hii ni hatua ya pili utakuja automatic kwa kuvutwa na nguvu ya hoja. Mbunge akitoa hoja nzuri bungeni wananchi tutamsikia na sisi ndiyo nguvu ya umma tutamrudisha 2015 mjengoni na wala siyo muungano utamrudisha mjengoni.

hapo hujatatua tatizo mkuu! kusema lazima waungane haulisaidii taifa na hapa tutapingana sana tu,


Waberoya,

Wewe na kaka yako mkiishia kuishi kwenye KISIWA fulani na huko kuna Mwanamke mmoja, itabidi muanze kumchangia. Hiyo si kuwa ni wazo zuri ila kwa sababu HAKUNA NJIA NYINGINE.

USA akina Obama walikuwa wengi kwenye mabaraza yao na hawakutaka kusikiliza MJUSI yeyote. Mambo yamebadilika na wengine hata wanasema kuwa itakuwa rahisi kwake kufanya kazi maana Republicans nao sasa wana sauti. Ila kabla ya hapo asingelithubutu kwenda kuwapigia magoti.

Hata CCM wangelikuwa chama cha Maslahi ya TAIFA, basi wangelikuwa wamefanya mengi sana. Ila kwa kuwa ni Wezi na Vibaka wakubwa na wana madaraka makubwa, ndiyo wametufikisha hapa tulipo.

CHADEMA kama wangelikuwa hawana jinsi, ingelibidi waungane na hao Wake WA CCM. Ila kwa hali ilivyo sasa, they can go to hell.

Inatakuwa tu urudi siku Bunge wameanza vikao. Chadema waliachwa peke yao. Hao CUF walipiga kura na CCM kuchagua Spika. Chadema walipoondoka, CUF waliwazomea na kukimbilia viti vyao. Walikuwa kama vile maatahira hivi na huwezi amini MIJITU MIZIMA na akili kichwani ingeliweza kufanya vitu vya kitoto namna hiyo.

Baadaye akaja Dr. Hamad siku ile ya mdahalo. Akamwaga matusi yake na kuonyesha jinsi alivyo Dr. hadi wa kejeli na vijembe utafikiri Kaka pacha wa Khadija Kopa. Akasema wao wataanzisha Kambi ya upinzani isiyo rasmi akitegemea kwa hilo ataendelea kutanua kwa visenti kutoka CCM. Walipomgomea na kumwambia sheria hairuhusu, ndiyo akaja na wimbo wake wa kuingizwa kwenye ngome ya upinzani.

Watu kama hawa wewe ndiyo UNAWATETEA kweli?

Kwako wewe hawa ndiyo wanajali maslahi ya RAIFA?

Kwako wewe ni CCM inajali maslahi ya taifa?

Kama na wewe unataka ndoa na Dr, Hamad Rashid, si uende tu mkafunge?

Au hata NCCR Mageuzi na bwana Kashilila sijui? Kama siyo Mbatia, sisi poa. Hata Mrema ni sawa tu.

Hawa watu kama kweli watabadilika kwa vitendo, basi tutakuwa hapa KUWAPIGIA kelele Chadema wawaingize upinzani ila siyo leo. Waonyeshe kwa dhati kuwa wako kwa ajili ya UTAIFA na si matumbo yao. Kama wewe ndiyo Dr. Hamad basi rusha vijembe vikali na ukimalize basi visome mwenyewe na ndiyo uwe UJUMBE WAKO kwako maana kwa vijembe, Dr wee mkali.

Pole kaka Sikonge umeandika kama unaongea kwa hiyo title ya thread sijasema kuwa ccm wanalinda maslahi ya taifa najua umeteleza kwa hasira kidogo!! pole sana
ukiangalia content yangu ninasema kuwa umoja ni nguvu ndiyo maana nahimiza umoja ili CCM iondoke

mwisho ulichosema hapa ni tofauti sana na walichokisema kamati kuu umesema mabaya ya cuf, I agree with you, I fully support you...NINACHOKATAA NI KUWEKA HOJA YA KUWA COALITION GOVERNMENT IS WRONG NA KWA SABABU CUF WAKO NDANI YA SERIKALI THEN SIO WAPINZANI ( SOMA POST YANGU YA JUU) ili ni kosa CDM isiposhirikiana na CUF kwa hizo sababu nakubali, ila kisingizio kisiwe eti ni sehemu ya serikali ukisema hivi tu unarudi kwenye shule yangu ya maana ya coalition governments hapo juu na jinsi inavyooperate.

asante hujasema kuwa coalition ina matatizo umetoa sababu nyingine ambazo hazijaandikwa, ila wananchi wengi wanaifuata sababu ya kkamati kuu kwenye tamko lenu which I believe is wrong, we may need coalition government later on!!
 
Mkuu Webs,

Ili nikusupport hoja zako, kwa kuanzia ungemshauri Rashid Hamad amwambie bosi wake (Mkwere) afanye yafuatayo:

1: Waziri Mkuu atoke CHADEMA;

2: Waziri wa Mambo ya Ndani atoke CHADEMA;

3: Waziri wa Elimu ya Juu atoke CHADEMA;

4: Waziri wa Viwanda na Biashara atoke CHADEMA;

5: Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba atoke CHADEMA;

6: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa atoke CHADEMA;

7: Waziri wa Fedha na Uchumi atoke CHADEMA;

8: Amfukuze IGP Said Mwema;

9: Iundwe Tume Huru ya Uchaguzi;

10: Tuanze mchakato huru wa KATIBA Mpya na iwe tayari kabla ya 2015.

Maana nchi zote ulizotolea mifano yako walifanya hivyo kwanza....
 
Mkuu Webs,

Ili nikusupport hoja zako, kwa kuanzia ungemshauri Rashid Hamad amwambie bosi wake (Mkwere) afanye yafuatayo:

1: Waziri Mkuu atoke CHADEMA;

2: Waziri wa Mambo ya Ndani atoke CHADEMA;

3: Waziri wa Elimu ya Juu atoke CHADEMA;

4: Waziri wa Viwanda na Biashara atoke CHADEMA;

5: Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba atoke CHADEMA;

6: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa atoke CHADEMA;

7: Waziri wa Fedha na Uchumi atoke CHADEMA;

8: Amfukuze IGP Said Mwema;

9: Iundwe Tume Huru ya Uchaguzi;

10: Tuanze mchakato huru wa KATIBA Mpya na iwe tayari kabla ya 2015.

Maana nchi zote ulizotolea mifano yako walifanya hivyo kwanza....

Debe tupu huwa haliachi kuvuma. Chadema ina uwezo wakutoa mawaziri wawili tu. Mengine yote uliyoandika ni marudio.

Ukweli unabaki pale pale kuwa CHADEMA, hasa hasa wengi wa viongozi wao ni wabinafsi na wanautumia upinzani kwa maslahi binafsi, ikiwa ni pamoja na kujipatia umaarufu.
 
Debe tupu huwa haliachi kuvuma. Chadema ina uwezo wakutoa mawaziri wawili tu. Mengine yote uliyoandika ni marudio.

Ukweli unabaki pale pale kuwa CHADEMA, hasa hasa wengi wa viongozi wao ni wabinafsi na wanautumia upinzani kwa maslahi binafsi, ikiwa ni pamoja na kujipatia umaarufu.

Sasa mnalilia nini kuungana?:A S 20:
 
Sasa mnalilia nini kuungana?:A S 20:

GO9G1385.JPG
 
Go hang Mr, Waberoya. CUF is part of CCM and does not need any coalition with CDM.
 
You tried to make your point but you missed something, in any coalition, you should have a common goal, as in marriage or anything you can call a coalition plus you should consider your own situation in deciding, which is not the same to all. So with this in mind Chadema are right because the other partner isnt trusted.

You refer US as an example, ya wrong, their democracy is very far from ours, example in one occasion Obama called reps as his enemies, Reps complained and asked him to withdraw that comment and he did. They Reps said you cant call us enemies by not agreeing with your policies. But what happens home we call wapinzani adui hatari, wachochezi etc. Jaribu hayo maneno hapa US uone.
 
Waberoya,

..I have never heard Prof.Lipumba talking about this issue.

..kwanini mjadala[malumbano] huu unaendeshwa kati ya CDM na Hamad Rashidi?

..pia tuangalie historia na matukio yaliyopelekea kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar.

..ukweli ni kwamba CUF[Hizbu] na CCM[Afro-Shirazi] wamekaribiana mno kwa kura na nafasi za ubunge.


..mwisho, bunge la Muungano ndiyo defacto bunge la Tanganyika. kwa upande mwingine, CUF ni chama ambacho kimejikita zaidi Pemba na muda mwingi hawaonyeshi interest yoyote ile na masuala yanayohusu Tanganyika. thamani ya wa-Tanganyika milioni 35++ ni ndogo sana machoni mwa uongozi wa CUF. hiki chama kimekuwa stable kwa muda mrefu sana lakini hakikufanya juhudi zozote zile kujijenga upande wa Tanganyika.

..binafsi kama m-Tanganyika sina uhakika kama CUF watalitumia ipasavyo jukwaa la kambi ya upinzani ktk bunge la muungano/Tanganyika.

Mkuu,
Prof. Lipumba ndiye mwenyekiti wa CUF, uongozi wa CUF hauoni thamani ya wa-Tanganyika? Mbona prof anatoa matamko mengi tu, ya uchaguzi, dowans ,uchumi...

Mkuu, inawezekana CDM na Hamad kwa sababu ndio wamefanya kazi pamoja sana bunge lililopita, pia wakati huo hakuwa Prof. Lipumba aliyefanya mjadala/malumbano na CDM. Ni continuity tu!

Hii CUF hizbu ni historia mpya au ni historia ya CCM ya kuwagawa na kuwatisha watu? Mtatiro ni hizbu, Lipumba ni hizbu?

Mkuu,Bunge la Muungano ni bunge la Tanganyika!!??? Mkuu hapa umeniacha mbali sana... punguza mwendo kidogo...sasa nakuelewa unaposema tuuvunje Muungano na wazenj! Kwa nini hatudai liwepo bunge la Tanganyika seperately na kuwe na bunge la Muungano dogo tu...katika muundo wa bunge la EAC, sio wabunge wote wa bunge la Kenya, Uganda, Tanzania wanaingia bunge la EAC. Hapa una point lakini umeipindisha..tudai bunge la Tanganyika...ujanja wa mwalimu ndio umetuletea upuuzi tulionao leo.
 
Hivi huoni hapo Mshoka alivyomshika mkono Mkwere mpaka anataka kuangukia upande wa kushoto... sasa hivi huo muungano mtauweza kweli....lol:twitch:?

Halafu mlivyo na uchu wa urais nadhani tukiwapa mtakomba hazina yote kufungua clubs za usiku na pia mkanunue nyumba UK! Madada zetu mtawapamba kwa ajira kwenye night clubs na housekeeper kwenye apartment, hotels.

All in all, wapiga kura tusiopeperushwa na upepo wa fashion ya chama, tutachagua Rais, mgombea binafsi. No strings attached. Then tutawapa ukurugenzi wa idara ya uhamiaji na mambo ya burudani:peace:.
 
Debe tupu huwa haliachi kuvuma. Chadema ina uwezo wakutoa mawaziri wawili tu. Mengine yote uliyoandika ni marudio.

Ukweli unabaki pale pale kuwa CHADEMA, hasa hasa wengi wa viongozi wao ni wabinafsi na wanautumia upinzani kwa maslahi binafsi, ikiwa ni pamoja na kujipatia umaarufu.
watu wanamna hii ndo tunaowataka hatutakki mbumbumbu kama wewe na ccm yako. Nguvu ya umma inakuja angalia al jeezera.
 
watu wanamna hii ndo tunaowataka hatutakki mbumbumbu kama wewe na ccm yako. Nguvu ya umma inakuja angalia al jeezera.

Rais (mgombea binafsi) atakupa kazi ya ukaguzi wa habari za burudani kwenye idara ya 'news and entertainment' ya litakalokuwa shirika la habari. Unaoneka unazipata sana channels.
 
Halafu mlivyo na uchu wa urais nadhani tukiwapa mtakomba hazina yote kufungua clubs za usiku na pia mkanunue nyumba UK! Madada zetu mtawapamba kwa ajira kwenye night clubs na housekeeper kwenye apartment, hotels.

All in all, No strings attached. Then tutawapa ukurugenzi wa idara ya uhamiaji na mambo ya burudani:peace:.

Nadhani wewe ni chaguo zuri sana la kum-replace Makamba!
 
Zitto anakupoteza ndugu yangu...siasa za Tanzania zimejaa unafiki,na kuwakomboa wananchi haihitaji wanafiki...CHADEMA wana upeo,ndio maana wameamua hivyo...MTATIRO akiwa fresh kutoka Chuo alifuatwa na CHADEMA, akatoa masharti ya gari na nyumba ili ajiunge nao,wangekua hawako makini wangemchukua...hujiulizi CUF walimpa nini?..sasa nyie mnadanganywa na Zitto ili afanikishe personal & mafisadi interests, mnashambulia tuuu....Zitto hatimizi tena interests za chama,ndo maana aliwashauri hata kina KAFULILA watoke....mkija kustuka itakua too late, mtazama nae wote..muulize Zitto utajiri alionao sasa chanzo chake ni nini,kisha utaelewa maana ya unafiki ktk siasa za bongo...
 
Naanza hoja yangu kuangalia msimamo wa chadema kwa CUF na kueleza ukweli kuhusu caolition governments

Maana yake:

A coalition government is where two or more political parties join together in parliament/assembly to run the government and agree on a policy programme





Faida zake:
  • Government will be more consensus-based: resulting policies will be broadly approved of
  • Better representation of the electorate's wishes
  • Better quality of policy: enhanced scrutiny and increased attention paid to each policy
  • Increased continuity: election does not lead to dramatic overhaul which can produce fragmented rule2
Hasara zake:


· The most obvious criticism of Proportional Representation is that it could form coalition governments. This is seen by some as a majorly bad thing as it supposedly does not allow ‘strong’ government. Having more than one party in charge of decision making could cause a lot of arguments between the leaders of the country as the top ministers may have opposing political ideologies and views. It could also mean that it is very hard to get policy through the governmental process meaning government could be overall less effective in the running of the country.

· It could also cause an overly expanded Cabinet to cater for everyone’s needs in the Government, which could lead to much needless expenditure.


· There could also be many arguments, which cause Cabinets to split and some important policy to be suspended to do the impossible task of keeping everybody happy



Mifano ya nchi zinazounda serikali ya umoja wa kitaifa


Europe:

Albania, Andorra, Austria, Belgium, Croatio, Belgium, Czech, Denmark, Finland, Estonia, Germany, Iceland, Ireland, Italy, Kosovo,Latvia, Lithuania, Luxembourg, Monaco, Montenegro, Netherlands, Norway, Poland, Romania, Serbia, Slovakia, Slovenia, Sweden, Switzerland ( has been ruled by a coalition of the four strongest parties in parliament from 1959 to 2008 called the ‘magic formula”), Ukraine and UK

Americas

Chile, Trinidad and Tobago, Suriname, Canada.

Africa:

Algeria, DRC Congo, Gabon, Guinea-Bissau, Kenya, Mali, Mauritania, Mauritius, Morocco,Senegal, Zanzibar Island, and Zimbabwe (was proposed not sure if still exists)

Asia

Armenia,Bangladesh,Cambodia,India,Indonesia,Iraq, Isarel, Japan, Lebanon, Malaysia, Maldives, Pakistan, Sri-Lanka, Thailand, Timor-Leste

Ocenia

Australia, New Zealand, Papua New Guinea, Vanuatu

Kwa nini huwa inaundwa?;

[FONT=Cal

we ***** tutolee pumba zako,yaan maelezo yote hayo umeleza mautumbo tu.mnalilia nini kuungana na cdm nyie endeleen na ccm yenu hasira za nin?hayo mautumbo kamueleze mtatiro
 
Nadhani wewe ni chaguo zuri sana la kum-replace Makamba!

Bwa ha ha ha haa, hamuachi kulia na sisiemu, hakuna siku mnakosa visingizio.

Kwa taarifa yako, ambayo ni marudio ya taarifa ajili yako, ni kwamba sina mapenzi, ufuasi wala ushabiki wa chama. Nadhani unawajua Independents, maamuzi huru, hayategemei nani kasema nini, yanaangalia nani kafanya nini.
 
kwa upande mwingine, CUF ni chama ambacho kimejikita zaidi Pemba na muda mwingi hawaonyeshi interest yoyote ile na masuala yanayohusu Tanganyika. .

Mkuu,
Pemba ina wapiga kura wangapi, na CUF ilivuna kura ngapi huko?
Na CUF imepata kura katika Uchanguzi wa Tanzania?
Zile kura walizovuna huku Bara ni ngapi? Au CUF ni chama cha wapemba?
Mkuu, nakuamini sana kwa uchambuzi lakini hapa umepiga mahesabu vibaya!!!
Kama tutachukulia idadi ya watu waliopigia kura CUF Tanganyika basi ni wengi zaidi kuliko waliopigia kura CUF Zanzibar.

Jee ni haki kusema kuwa CDM ni chama cha Tanganyika tu? Najua hutaafiki mantiki hii.
 
wana jf huu muungano wa ccm na cuf sijauelewa , lakini huwa najiuliza ikitokea siku moja other than ccm to win an election in mainland( na zanzibar kikapata ushindi wa tatu) halafu visiwani ni ccm au another political party kikashinda katiba yetu inasemaje hili?
 
Nadhani wewe ni chaguo zuri sana la kum-replace Makamba!

Bwa ha ha ha haa, hamuachi kulia na sisiemu, hakuna siku mnakosa visingizio.

Kwa taarifa yako, ambayo ni marudio ya taarifa ajili yako, ni kwamba sina mapenzi, ufuasi wala ushabiki wa chama. Nadhani unawajua Independents, maamuzi huru, hayategemei nani kasema nini, yanaangalia nani kafanya nini.

Acha nataka-sitaki hiyo Mkuu, ina maana wewe kweli sio chaguo bora la kum-replace...?
 
Back
Top Bottom