The End..
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 4,364
- 3,801
Msaada wakuu ninahitaji kujiunga na chuo facult ya medicine ngazi ya stashahada ila kwa sasa ni mwalimu na nategemea huo mshahara unisogeze hadi nitakapomaliza chuo.
Swali je, naweza kujiunga na chuo wakati huo huo nikaendelea na uwalimu. Nipo shule ya serikali
Naombeni mawazo yenu wakuu!
Swali je, naweza kujiunga na chuo wakati huo huo nikaendelea na uwalimu. Nipo shule ya serikali
Naombeni mawazo yenu wakuu!