Navyojua wenye 1st degree ambayo sio accounts wanaanzia professional stage module ADuh! Nadhani itabidi uanzie kule kwenye ATEC...
Sasa kwa mtu huyo ambaye hajasomea accounts then ataitumia CPA hiyo wapi kaka?Navyojua wenye 1st degree ambayo sio accounts wanaanzia professional stage module A
mkuuu acha kukariri...Sasa kwa mtu huyo ambaye hajasomea accounts then ataitumia CPA hiyo wapi kaka?
Anaitumia kwenye kazi zinazohitaji mtu mwenye CPA na ndio maana anaanzia module moduel A. waliosoma accounts wanafanya madule E na F.Sasa kwa mtu huyo ambaye hajasomea accounts then ataitumia CPA hiyo wapi kaka?
Kiongozi module E & F haukuna siku hizi.....waliosoma degree ya Accounts wanaanzia intermediate stage (6 papers) and Final stage (4papers)Anaitumia kwenye kazi zinazohitaji mtu mwenye CPA na ndio maana anaanzia module moduel A. waliosoma accounts wanafanya madule E na F.
Ni sawa tu, wasiosoma accounts wanaanzia foundation stage ambayo it was by then modue A and B na waliosoma accounts wanasoma final stage ambayo by then ni E and F. kwa msaada zaidi mtoa mada afike na vyeti vyake kwa ofisi za board ya NBAA atapata maelezo ya kutoshaKiongozi module E & F haukuna siku hizi.....waliosoma degree ya Accounts wanaanzia intermediate stage (6 papers) and Final stage (4papers)