CPA anasoma mtu yeyote yule hata form four. Ingia kwenye website kuijua level utakayoanzia.Habar Wana JF,
Hv inawezekana kwa watu wenye diploma ya account and finance kusoma (CPA)? Na Kama inawezekan ni vigezo gan vnahitajika?? Na ni level gan ataanza nayo? Tuko hapa kujifunza naombeni mchango wenu wa hoja zenu