micind
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 344
- 872
Habari zenu,
Nahitaji kusoma hii fani ya uhasibu, nina cheti cha kidato cha nne cha sita na degree nyingine haihusiani kabisa n maswala ya kifedha.
Nimejaribu kutafuta taarifa kidogo nimekutana na ACCA, NBAA na wale wenye degree za accountancy kutoka kwenye vyuo vikuu vya hapa nyumbani.
Sasa swali langu nauliza je nahitaji kusoma Tena degree ya uhasibu Kisha niendelee huko mbele kwenye CPA na kwingine?
Nikisoma courses za ACCA tu na baadae nikafanya CPA(T) inatosha Mimi kua muhasibu au ni lazima niwe na degree ya uhasibu kwanza?
Naombeni msaada wenu kwa maswali yangu na pia kama Kuna suggestion zingine nipo tayari kuzipokea kwasababu hapa JF Kuna utajiri wa maaarifa.
Asanteni.
Nahitaji kusoma hii fani ya uhasibu, nina cheti cha kidato cha nne cha sita na degree nyingine haihusiani kabisa n maswala ya kifedha.
Nimejaribu kutafuta taarifa kidogo nimekutana na ACCA, NBAA na wale wenye degree za accountancy kutoka kwenye vyuo vikuu vya hapa nyumbani.
Sasa swali langu nauliza je nahitaji kusoma Tena degree ya uhasibu Kisha niendelee huko mbele kwenye CPA na kwingine?
Nikisoma courses za ACCA tu na baadae nikafanya CPA(T) inatosha Mimi kua muhasibu au ni lazima niwe na degree ya uhasibu kwanza?
Naombeni msaada wenu kwa maswali yangu na pia kama Kuna suggestion zingine nipo tayari kuzipokea kwasababu hapa JF Kuna utajiri wa maaarifa.
Asanteni.