Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Hilo suala nasikiavyo limewasambaratisha akina Mchemba na kuwafanya waweke vikao hadi usiku kutafuta namna ya kumpiku kipenzi hiki cha Watanzania wanaodhulumiwa.
Hilo suala nasikiavyo limewasambaratisha akina Mchemba na kuwafanya waweke vikao hadi usiku kutafuta namna ya kumpiku kipenzi hiki cha Watanzania wanaodhulumiwa.
Wananchi wamesha anza kustukia propaganda chafu za CCM. Jibu ni hilo tu.