12STONE
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 1,184
- 398
Kwa mtindo huu wa kamata weka ndani bambikiza kesi, mama samia ataliingiza taifa kwenye giza la kiuchumi ukizingatia yeye hana mbinu mbadala za kuinua uchumi wa nchi wazo kuu kwake ni kukopo tu kisha pigs panga kidogo aweke kwenye mfumo wake iliyotoboka usio na manufaa kwa tanzania yetu.
Kila kukicha dila inapanda na shs yetu inapiromoka. Na bado hekima imekosekana kabisa kwa hili suala la bandari zetu. Mmebakia kung'ang'ania tu Waarabu wa Dubai na DP world yao.
Dunia sasa ni kijiji utakwepa wapi kulaumiwa wakati ukweli uko wazi, unawashika hao alina mwabukusi, mdude, madeleka na dr slaa kwa lipi yaani. Kupinduluwa? Au mnataka jeshi liiingilie kati ili mjue kupinduluwa kukoje.
Tanzania haiwezi kujificha ili habari zake zisijulikane kila kitu kiko wazi kelele njema za kudai bandari zetu zisitolewe bure zimefika. Utanyimwa mikopo na waarabu watakuacha tu, maana huu moto usipouangalia utakuwakia popote ulipo mpaka kwenye miguu, kitandani, bafuni hata kwenye vikao vyote hata vile vya siri.
Waachie hao bila kuchelewa na wasidhurie wala adiwrpo wa kupoteza maisha yso. Zaidi ya hapo wengi wataamimini wewe ndio ulikuwa unamshauri vibaya Mzee Magu. Ukuacha kuitwa jina zuri la heshima maadamu presedent ukaanza kuitwa dikteta hapo itakuwa imekula kwako.
Nchi hii ina rasilimali nyingi sana inakuwaje uchumi uanfukie mikononi mwako? Unatumiwa muda mwingi kuwakabili wanakukosoa badala ya kujijenga nchi yetu.
Usije ukasema hatujawahi kukuambia:
Cheo ni dhamana, hasa hiki ulichokipata kwa kudra za mwenyezi Mungu. Penda watu wako unawaongoza,
Tanzania bado ina umasikini mwingi unaosababishwa na ninyi viongozi wachumia tumbo zenu.Hakuna mikakati ya kuondoa umasikini ila mna mipango na mikakati ya kuongeza masikini na wajinga ili muendelee kutawala.
Endeleeni kuliamsha, bado kidogo sana Watanzania wataamka usingizini wakiingia baranarani kuandamana,
Wembe mnaoulilia utaupata na utawakata wenyewe.
Jenga uchumi wa nchi yetu achana na siasa za kutesa watanzania kwa mambo halali na sahihi na ya kweli wanayoyadai.
Kila kukicha dila inapanda na shs yetu inapiromoka. Na bado hekima imekosekana kabisa kwa hili suala la bandari zetu. Mmebakia kung'ang'ania tu Waarabu wa Dubai na DP world yao.
Dunia sasa ni kijiji utakwepa wapi kulaumiwa wakati ukweli uko wazi, unawashika hao alina mwabukusi, mdude, madeleka na dr slaa kwa lipi yaani. Kupinduluwa? Au mnataka jeshi liiingilie kati ili mjue kupinduluwa kukoje.
Tanzania haiwezi kujificha ili habari zake zisijulikane kila kitu kiko wazi kelele njema za kudai bandari zetu zisitolewe bure zimefika. Utanyimwa mikopo na waarabu watakuacha tu, maana huu moto usipouangalia utakuwakia popote ulipo mpaka kwenye miguu, kitandani, bafuni hata kwenye vikao vyote hata vile vya siri.
Waachie hao bila kuchelewa na wasidhurie wala adiwrpo wa kupoteza maisha yso. Zaidi ya hapo wengi wataamimini wewe ndio ulikuwa unamshauri vibaya Mzee Magu. Ukuacha kuitwa jina zuri la heshima maadamu presedent ukaanza kuitwa dikteta hapo itakuwa imekula kwako.
Nchi hii ina rasilimali nyingi sana inakuwaje uchumi uanfukie mikononi mwako? Unatumiwa muda mwingi kuwakabili wanakukosoa badala ya kujijenga nchi yetu.
Usije ukasema hatujawahi kukuambia:
Cheo ni dhamana, hasa hiki ulichokipata kwa kudra za mwenyezi Mungu. Penda watu wako unawaongoza,
Tanzania bado ina umasikini mwingi unaosababishwa na ninyi viongozi wachumia tumbo zenu.Hakuna mikakati ya kuondoa umasikini ila mna mipango na mikakati ya kuongeza masikini na wajinga ili muendelee kutawala.
Endeleeni kuliamsha, bado kidogo sana Watanzania wataamka usingizini wakiingia baranarani kuandamana,
Wembe mnaoulilia utaupata na utawakata wenyewe.
Jenga uchumi wa nchi yetu achana na siasa za kutesa watanzania kwa mambo halali na sahihi na ya kweli wanayoyadai.