Utaandikisha mkataba kisheria? maana hukawii kuingia mitini.
Ujenge nyumba, kila kitu ndani, usafiri na malezi ya mtoto. Halafu marufuku kuingilia mahusiano ya utakayezaa ne na mtu mwingine kama wewe kutoingiliwa na mkeo.
dada mkataba wangu upo wazi so sipendi kupewa amendment na mtu mwingine nipo tayari kwa mtu aliyeona ninachokihitaji ni fear kwake.swala la kisheria litafanyika pale litakapohitajikaUtaandikisha mkataba kisheria? maana hukawii kuingia mitini.
Ujenge nyumba, kila kitu ndani, usafiri na malezi ya mtoto. Halafu marufuku kuingilia mahusiano ya utakayezaa ne na mtu mwingine kama wewe kutoingiliwa na mkeo.
hahahaha hapana mkuu. Thanks kwa offer yakoHivi anataka kuzaa na mwanamke mwingine kwa njia ipi hasa.
Ile ya kujamiiana au ile ya In-VitroFertilization (IVF)?
Nina wanangu naweza kuwabinafsisha kwa muda kama itakuwa ni ile ya IVF
Tatizo umri wake ni 30+Hili dili lingemlipa yule mama anaekalie kiti cha mbele cha kuwatazama wenzake pale mjengoni Karibu na Udom !
Sema ndy hivyo tu hajajua kama kuna zabuni Jf !
Nimber 3 mke wangu asijue nini kinaendelea btn us number 7 Mtoto anahitaji malezi ya kutosha kutoka kwa mama ningependa uishi pekeyako iliaweze kufaidi matunzo hayo
Hutaki deal wewe,
hatoweza kwamwe maana anapenda sana watoto na ndiyo dream yake kubwa sana one day if happenutanihakikishiaje kuwa huyo mkeo hatamnyofoa mwanangu kichwa pindi atakapojua...?
dalili zinaonekana sio nzuri hapa.....
hahahahaha ujenzi kabla hujaingia kwenye mkataba? cha kwanza nitakupangia nyumba mjini hapa then ukishapata mtoto ndiyo hapo nitakapo kujengea hii itakuwa kwa makubaliano maana siwezi kukujengea mtu ambaye utakuwa huna manufaa nami lengo langu kubwa ni mtotoujenzi unaanza lini? ukifa kabla hujanijengea?
ujenzi unaanza lini? ukifa kabla hujanijengea?
this one is pure/original/genuine its ma desire to fill this dreamMadili ya bongo si unayaelewa mkuu..unauziwa cheni bandia na wewe unatoa pesa bandia)))) he he
tatizo hii njia ni ya kizungu bana ila nikikosa nita apply. thank kwa maoni yaoJamani vipi nimechelewa au.... na hilo sharti la nne mbona gumu. Mkuu nina swali, sasa kaka ukiwa unauwezo wote huo wa kuhudumu nyumba ndogo si bora ujaribu IVF au surrogacy.
Lakini imekaa vizuri deal hili tatizo wewe mweusi bana!
this should not be public ukitaka kujua onana na mimi na kwa first time nitawaalika nyumbani kama marafiki mjue naishi vipi then majadiliano yatafanyika nje ya nyumba yangu.Kwanza nyumba kubwa inamatatizo gani ya kuleta familia?