offer yake ni kwamba ndani ya makubaliano yangu mi na yeyeye ni kumuandikia asset za kutosha yeyeye na mtoto na nina mtoto mmoja tayari wa kiume ila ninahitaji wapili so siwezi mchukua mtoto kwa mama. acha wasiwasi nimejipanga vizuri sipo kudhulumu mtu ila nataka iwe ni ridhaa ya mtu peke yake ili asijevinja ndoa yangu na kulaumu kuwa nilimlaghai
ahahaaaaa kweli mmetuchoka humuningekuwa mimi ndio hao wadada 'desperate' waliokuandikia,ningezaa na wewe baada ya miaka kadhaaa naolewa tena,kwani utafanya nini nikiolewa tena?????????????????utamtekeleza mtoto au?????????????.....yaani ni waste my whole damn life(nisiolewe wala kuzaa tena) kwa ajili ya mtoto mmoja na kanyumba......wewe kaka acha kuwa selfish hivyo!!!!.....
Matumizi ya wastani ndio yapoje. Watu tunataka tutumie hela zituzoee.
Kufaidi kamchezo lazima si unajua kuna na kutanua njiamtoto mmoja sh ngapi? me nna uzazi wa mapacha? na je mlalo ni mmoja tu kwa ajili ya mimba au unataka kufaidi na kamcheZo?
Yaani hii post imekuja na mimi nishaacha ukicheche maana ningekubali hizo terms nikakubebea mimba ambayo si yako na matumizi ukayalipa, nitakunyonyoa wewe mpaka ushike adabu. Ukijastuka too late mummy nasepa, nyie wanaume msiwachokoze wanawake, we are big revenger.