Tajiri mweusi
Member
- Feb 13, 2012
- 61
- 18
- Thread starter
- #61
hilo siyo lengo hakuna mtoto wa siri ila nataka heshima yangu mimi na mke wangu na huyo nitakayezaa naye ziwe 100% nadhani umenielewani anataka kuwa na mtoto kwa siri
hilo siyo lengo hakuna mtoto wa siri ila nataka heshima yangu mimi na mke wangu na huyo nitakayezaa naye ziwe 100% nadhani umenielewani anataka kuwa na mtoto kwa siri
pm zimeanza mimi nanegotuiati humuNimeanza kupokea request please naomba kwa wale ambao wanaishi mikoani sitoweza kujadiliana nao kwa njia ya simu ukiwa tayari njoo Dar tuonane. Samahani kwa usumbufu
Kutokana na matatizo ya familia yangu(x) nahitaji mwanamke wa kuzaa naye mtoto mmoja nikitoa matunzo yote kwake sifa zake
Kama upo tayari ni pm au nitumie mail kupitia homakali72@gmail.com ukinipa wasifu wako na mawasiliano yako.dirisha wazi kwako
- uwe ni mtu mwenye uvumilivu ukiniona mimi na mke wangu lazime uwe mtulivu
- uwe unajiheshimu
- unatunza siri
- uwe mtu wa matumizi ya wastani
- ukiwa umeajiriwa ua umejiajiri nitakupa kipaumbele
- Umri usizidi miaka 30
- usiwe tayari kuolewa na mtu mwingine baada ya kuzaa mtoto nami.
mstari wakwanza unaonyesha mwanamke wa kuzaa nae mtoto mmoja nadhani ipo wazi.thanxMbona hujaulizia juu ya uwezo wake wa uzazi? I mean reproductive ability yake?
Nawapenda sana na sina ubaguzi ila wewe nadhani nafasiyako itakuwa baadae sana.asantepm zimeanza mimi nanegotuiati humu
hiv status yako ipoje?
mimi niko negative
Bado nafasi ipo maana leo nachukua tu contact kuanzia ijumaa nitaanza kuonana na kila mmoja na kufanya mahojiano ya mambo kadhaa karibu sanaVipi jamani, nafasi bado ipo au smile kachukua tenda???? kisimu cha mchina hiki kinanikosesha maisha kwa kweli. Eti tajiri bado kuna nafasi na mimi nitume maombi yangu??????:smash::smash:
Kutokana na matatizo ya familia yangu(x) nahitaji mwanamke wa kuzaa naye mtoto mmoja nikitoa matunzo yote kwake sifa zake
​Kama upo tayari ni pm au nitumie mail kupitia homakali72@gmail.com ukinipa wasifu wako na mawasiliano yako.dirisha wazi kwako
- uwe ni mtu mwenye uvumilivu ukiniona mimi na mke wangu lazime uwe mtulivu
- uwe unajiheshimu
- unatunza siri
- uwe mtu wa matumizi ya wastani
- ukiwa umeajiriwa ua umejiajiri nitakupa kipaumbele
- Umri usizidi miaka 30
- usiwe tayari kuolewa na mtu mwingine baada ya kuzaa mtoto nami.
Sina tabia ya umalaya na sina shida na mwanamke wa kutembea naye.Ninashida na kama maelezo yanavyosema hapo juu.Cha muhimu kuwaza kama nitachukua mtaani kwangu je? masharti yangu 7 yataweza zingatiwa jibu ni hapana. ndiyo maana unaniona nimetumia mtandao yote hii ni kuzingatia kanuni number 3Kwani mtaani kwdnu hakuna wanawake mpaka uamue kuja kuwatafuta huku? Au ndo ushamaliza wote mtaani kwenu unataka kuwajaribu na wa mtandaoni? Angalia usijejuta kuijua JF
Nina Mtoto aliyemaliza form 4 mwaka huu wa kiume na hilo lisikutishe maana niko vizuri sana mkuu na mi kufikia hatua hii 2mefanya njia nyingi sana so usiogope.Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Papaaaaaaa mupaaaaaaaoooooooo pedesheeeeeeeeeeeeeeeeeeee mwonkoziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,inaonesha mkeo hana uwezo wa kuzaaa ila inaonyesha wewe haujapima sema unataka kutest nje ila mind mademu wajanja sana watatest mwezi m1 ku_do na wewe wakiona dry wataenda nje kupachikwa mimba na mtu mwingine unabambikiziwa wewe,angalia nenda na mkeo hospital mkapime wote usimlaumu mkeo ndio mwenye matatizo pengine wewe ndio mwenye problem.
Kutokana na matatizo ya familia yangu(x) nahitaji mwanamke wa kuzaa naye mtoto mmoja nikitoa matunzo yote kwake sifa zake
​Kama upo tayari ni pm au nitumie mail kupitia homakali72@gmail.com ukinipa wasifu wako na mawasiliano yako.dirisha wazi kwako
- uwe ni mtu mwenye uvumilivu ukiniona mimi na mke wangu lazime uwe mtulivu
- uwe unajiheshimu
- unatunza siri
- uwe mtu wa matumizi ya wastani
- ukiwa umeajiriwa ua umejiajiri nitakupa kipaumbele
- Umri usizidi miaka 30
- usiwe tayari kuolewa na mtu mwingine baada ya kuzaa mtoto nami.
Not true nisingelinda heshima ya mke wangu.Nashukuru kwa kushiriki piaabormination!!
Kutokana na matatizo ya familia yangu(x) nahitaji mwanamke wa kuzaa naye mtoto mmoja nikitoa matunzo yote kwake sifa zake
​Kama upo tayari ni pm au nitumie mail kupitia homakali72@gmail.com ukinipa wasifu wako na mawasiliano yako.dirisha wazi kwako
- uwe ni mtu mwenye uvumilivu ukiniona mimi na mke wangu lazime uwe mtulivu
- uwe unajiheshimu
- unatunza siri
- uwe mtu wa matumizi ya wastani
- ukiwa umeajiriwa ua umejiajiri nitakupa kipaumbele
- Umri usizidi miaka 30
- usiwe tayari kuolewa na mtu mwingine baada ya kuzaa mtoto nami.
thanx nimeshapata wakutosha kaka nilikuwasihitaji ambaye ameshazaa au kuolewa.asante kwa ushiriki wakoPoa,unataka ambaye alishawahikuzaa au?
hehehehe linakushangaza hilo makahaba wanavyojiuza ndani ya dk 5 unachukua kitu sembuse huyu.Maisha yamebadilika na Dunia inaangamia.Yaani umepata watu?aisee kumbe madesparate wako wengi