Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
acheni wivu wanaume ndo hawa sasa.ngoja nigotiate hili dealweewe!
acheni wivu wanaume ndo hawa sasa.ngoja nigotiate hili dealweewe!
wewe kwani unataka kuolewa hii nimetoa kwa watu wasiyotaka kuolewa soma tittleSi uende ukazae na mkeo ? Badala ya kutafu biashara ya kufanya ili uongeze kipato we unafikiria kuzaa nnje . Tumia akili basi mkuu wangu .
achana nae huyowewe kwani unataka kuolewa hii nimetoa kwa watu wasiyotaka kuolewa soma tittle
wewe kwani unataka kuolewa hii nimetoa kwa watu wasiyotaka kuolewa soma tittle
wewe nikupangie nyumba na matumizi hapa mjini uniambie nipeleke kijijini ki msingi wapo ila kwenye kuzaa na kutunza siri ndiyo mahali nimekuwa nikikwama kila siku ndiyo maana nimetangaza humu kwenye forum nikifanikiwa nitakujulisha maana umependa kunikatisha tamaaOffer hiyo bora ukatoe kijijini kwa mjini itakula kwako...
samahani kama wewe ni jinsia yangu bwana ila nimetoa tangazo kwa wasiotaka kuolewa ndugu .thanks for your cooperation mkuuhahahahahaha ntake radhi tajiri black kabla sijaja kuvunja hiyo monitor unayoitumia.
Yah vyote kama familia yangunyumba,usafiri bill umeme ,maji dstv nini unaprovide?
Si uende ukazae na mkeo ? Badala ya kutafu biashara ya kufanya ili uongeze kipato we unafikiria kuzaa nnje . Tumia akili basi mkuu wangu .
haupo serous waachie wasiyotaka kuolewa tafadhali vigezo vyako ni kwa wanyama tuNasubiri dirisha dogo
Ila im not cheap lol..na wewe lazima uwe na sifa nizitakazo
1. good pedigree
2. good pedigree
3.good pedigree
well yumba ya kupanga au unanijengea? kama ya kujenga maeneo yapi?tusije pelekana magwepandeYah vyote kama familia yangu
dini yeyote ilimradi mtoto afuate dini yangu maumbile si kikwazo kwangu figa zote naziheshimu, mke wangu itabidi atambue baada ya muda maana itakuwa ndiyo suluhisho la matatizo yetuMbona hujasema maumbile, IC na dini ya huyo unayetaka akuzalie? huoni hivyo vyote ni muhimu ili kupata your dreamy baby. It is a great arrangement kwa mdada ambaye hana mpango wa kuolewa; ila huoni kama unamkosea mkeo hata kama hana uwezo wa kuzaa (nina assume hawezi kuzaa).
kwa sasa nyumba za kujenga zipo kijijini ila kama utataka kuishi boko,kinyerezi,kiluvya nitakujengea ila ninapendelea uishi mjini kwanza mpaka ipatikane sehemu ya ujenzi huo mpya ila nyumba itakuwa ni mali ya mtoto utakayemzaawell yumba ya kupanga au unanijengea? kama ya kujenga maeneo yapi?tusije pelekana magwepande
dini yeyote ilimradi mtoto afuate dini yangu maumbile si kikwazo kwangu figa zote naziheshimu, mke wangu itabidi atambue baada ya muda maana itakuwa ndiyo suluhisho la matatizo yetu
so ujenzi utaanza lini?kwa sasa nyumba za kujenga zipo kijijini ila kama utataka kuishi boko,kinyerezi,kiluvya nitakujengea ila ninapendelea uishi mjini kwanza mpaka ipatikane sehemu ya ujenzi huo mpya ila nyumba itakuwa ni mali ya mtoto utakayemzaa
offer yake ni kwamba ndani ya makubaliano yangu mi na yeyeye ni kumuandikia asset za kutosha yeyeye na mtoto na nina mtoto mmoja tayari wa kiume ila ninahitaji wapili so siwezi mchukua mtoto kwa mama. acha wasiwasi nimejipanga vizuri sipo kudhulumu mtu ila nataka iwe ni ridhaa ya mtu peke yake ili asijevinja ndoa yangu na kulaumu kuwa nilimlaghaiNnmh; hapo naona kama huyo dada mnamtia changa la macho, siku huyo mkeo akitaka mtoto mmlee wenyewe, si mtakuwa mmemfanya dada wa watu kakiwanda tu!
Hii arrangement si fair, kwanini msiadopt watoto mbona ni wengi ambao hawana watu wa kuwalea?