Imenibidi...

Jamani msinishambulie sana, nilifanya mara moja tuu kutoa kinyongo. Kwa sasa mbona tupo fit kabisa tena tumerudia mapenzi kama yale ya kabla ya ndoa jamani.


Kukushambulia acha tu tukushambulie,unafikiri hayo uliyoandika hapa yametufurahisha sana eee,tena ulivyokuwa unajibu ndo umetuchefua kama nini,kubali vidonge japo ni vichungu we vimeze,na watoto wa mtaani wanakwambia ukilikoroga ulinywe,kwa hiyo linywe sasa.
 
Niliwaeleza tangu awali huyu mama/baba anatka attention au kuna jambo anatenda so amekuja kuprovoke ili yakimsibu ajue namna ya kujikimu...kama kweli ni mwanamke na ameolewa naomba MODE muweke kitufe cha POLE kila mumewe akichangia mada na gonga POLE siajabu akawa anampiga

Kuna dada mmoja anaitwa SADAKA [kama sikosei] anakuwa kwa kipindi cha leo tena mida ya saa tano au zaidi, nadhani atamsaidia sana huyu mtoa mada

Is sadaka a member of JF if not can we invite her because she will be very useful for this forum
 
Tena najisikia raha sana kwa kweli. Maana nilikaa chini siku moja nikajiuliza, hivi nitabadilisha mpaka lini, maana wakati wa usichana wangu nimeachana na ma boyfriend kama wanne kwa kosa hilo hilo. Ss hata nikienda kwa mwingine mambo siyatakuwa hayo hayo. Sijipi presha tena, na moyo wangu umetulia sana kwa sasa.


Utakuwa na roho ngumu sana. Natamani ningekuona kwa sura!
 
We mwanamke ni mpubavu sana, tena zaidi ya mume wako.
Unadhani ni sifa!!!!?
Huna maaana
 
Wanajamii za leo jamani,

Niko kwenye ndoa ya almost two years, hatuna bado mtoto na my mr. Ktk hiki kipindi chote hadi sasa ndoa kwa kweli imekuwa na ups and downs kama kawaida. Ila cha ajabu nilichokuwa na hisia nacho toka nilipoanza kuishi na mwenzangu majibu nimeyapata...ana mega nje ya ndoa tena aliye kuwa girlfriend wake wa zamani, kutokana na taarifa niliyopewa na wake za marafiki zake wakaribu. Nampenda sana my mr. ila sijui ni nini hasa kilichompelekea kuanza tena uhusioano na huyo mama maana anamzidi kama 10 years hivi. Nikitu kimeniuma sana roho kunipelekea, ss kutokumjali tena, na kuamua kuwa na boyfriend wa kuniliwaza. Je, nimefanya kosa katika hili. All the evidence i had na akaomba msamaha nimsamehe. Nilimsamehe lakini na mimi nimehakikisha nimetafuta wangu wa nje ili tu balance.

Naona unataka ku experience kuishi kwa matumaini na VVU! Endelea tu na ka - boi frendi chako utavuna unachopanda
 
hapa nimeweka karamu chini
Writing_pen.gif
 
Kuna dada mmoja anaitwa SADAKA [kama sikosei] anakuwa kwa kipindi cha leo tena mida ya saa tano au zaidi, nadhani atamsaidia sana huyu mtoa mada

Is sadaka a member of JF if not can we invite her because she will be very useful for this forum

bahati nzuri mkurugenzi wa ile radio ya watu tuko nae hapa anasoma hii atatusaidia kumepeka huko sitaki hata amfahamu mtu wa karibu yangu anaweza kumwaribu tabia.
 
My God!!! Kama hii ndiyo spirit yako, basi nimepoteza sana respect kwako!!! Kumbuka

  • two wrongs wont make it right
  • revenge is evil
  • kuosha/kuoshwa ni spirit ya waliokosa dhamira katika maisha
  • Na kama kweli waamini dhana hiyo, basi disclose kwa mwenzako basi muendeleze libeneke
  • hii dhana inaendeleza disharmony bila kushabikia separation.. so hurting kwa kwenda mbele
Nimesikitishwa sana hasa kwa kuzingatia uko mbele sana kwenye mambo ya jamii

ANyway haya ni maoni yangu tu!!!

My point is... evil is evil..hakuna lesser evil..kama imefanywa na mwanamke au mwanaume zote ni mbaya! Huyo niliyemjibu ni kwamba anaona Mrs Mtaba tu ndio mbaya,..what about the other party to the equation?...

It beats me kuona kuwa kuna double standards kwenye haya maswala..ni lini tutaacha kushabikia uovu unaotendwa na sehemu moja ya jamii? Tukihesabu thread za mahusiano zinazoanzishwa na wanaume zenye kuungama uzinzi, zenye kushabikia kumega, na hulka nyingine mbaya nadhani tutajishangaa kwa jinsi kulivyo na unafiki uliokithiri.

Majority ya wachangiaji ama wanatoa support au kuchochea na kutoa support kwa uovu zaidi. Tabia hizi mimi sioni zinatofautiana na uovu mwingine unaotendeka katika jamii kama Ufisadi.Tunapojadili ufisadi wa wanasiasa na viongozi sijaona hata mahali pamoja akatokezea mtu na kuthubutu kuandika kushabikia ufisadi/wizi au rushwa akaungwa mkono.Lakini inapotokea ufisadi huohuo ila wa mapenzi basi hapa kuna migawanyiko.Kama kweli tunataka kurekebisha jamii zetu tuanzie ngazi za familia zetu.Bila kufanya hivyo hakutakuwa na moral justification wala moral authority ya kulalamikia ufisadi huo wa rasilimali za taifa.

You are entitled to your own views and opinion about my points or any point my bro MTM.
 
safi sana mtu wangu hii ni kama alivyoimba mwanafalsa katika niponipo kwanza kuwa inarudisha hadhi, mambo ni jino kwa jino wamezidi sana hawa kina baba. ila ndani ya miaka 2 tu tena bila kuzaa huyu mume kimeo
 
My point is... evil is evil..hakuna lesser evil..kama imefanywa na mwanamke au mwanaume zote ni mbaya! Huyo niliyemjibu ni kwamba anaona Mrs Mtaba tu ndio mbaya,..what about the other party to the equation?...

It beats me kuona kuwa kuna double standards kwenye haya maswala..ni lini tutaacha kushabikia uovu unaotendwa na sehemu moja ya jamii? Tukihesabu thread za mahusiano zinazoanzishwa na wanaume zenye kuungama uzinzi, zenye kushabikia kumega, na hulka nyingine mbaya nadhani tutajishangaa kwa jinsi kulivyo na unafiki uliokithiri.

Majority ya wachangiaji ama wanatoa support au kuchochea na kutoa support kwa uovu zaidi. Tabia hizi mimi sioni zinatofautiana na uovu mwingine unaotendeka katika jamii kama Ufisadi.Tunapojadili ufisadi wa wanasiasa na viongozi sijaona hata mahali pamoja akatokezea mtu na kuthubutu kuandika kushabikia ufisadi/wizi au rushwa akaungwa mkono.Lakini inapotokea ufisadi huohuo ila wa mapenzi basi hapa kuna migawanyiko.Kama kweli tunataka kurekebisha jamii zetu tuanzie ngazi za familia zetu.Bila kufanya hivyo hakutakuwa na moral justification wala moral authority ya kulalamikia ufisadi huo wa rasilimali za taifa.

You are entitled to your own views and opinion about my points or any point my bro MTM.

VC, the font size and colors tell alot... but that why i like this forum!! agreeing to disagree and learning from each other

My first bullet point says it all... I acknowledged the "two wrongs"!! which means i didnt differentiate the two mistakes... and that is why why i didnt condone mwanaume ila nimesema mwongozo wa muosha huoshwa!! its like if you do me i do you... yaani kama mke wangu akicheat basi na mimi ni-cheat!!! its not a way to raise our kids and community because it doesnt end there, it goes to arguing, fighting, stealing and everything relating to community life

If you have noted anywhere nimesupport tendo la mwanaume kwenye hii thread, niambie na nitaomba msamaha... otherwise wewe unanipa depression kwa kukubali dhana ya "do me do you" muosha huoshwa ambayo inatranslate kwa kila kitu katika jamii na si mapenzi tu!!

I believe in understanding although i may not be practicing everyday because I am a human and what i saw is what i took from your post... and i am not in favor of muosha huoshwa, i remember i commented on this once a few months ago on another thread
 
Mrs Mtaba ulishofanya si sahihi hata kidogo. Kama imefikia mnajiita wanandoa na kila mtu ana ampendae zaidi ya mwanandoa basi hapo hapakuwa na upendo wa kweli. Inawezekana kabisa mumewo alipenda sana amwoe huyo jimama lakini akapata kipingamizi toka kwa ndugu kutokana na umri wake. Hivyo wewe umeolewa kuridhisha jamaa wa mumeo. Kabla ya kufanya ulichofanya ni bora ungetafuta namna ya kuachana naye kwanza ndipo utafute mpenzi mwingine. Mlikofikia ni pabaya sana na hata kifo kinawezatokea atakapong'amua.
 
safi sana mtu wangu hii ni kama alivyoimba mwanafalsa katika niponipo kwanza kuwa inarudisha hadhi, mambo ni jino kwa jino wamezidi sana hawa kina baba. ila ndani ya miaka 2 tu tena bila kuzaa huyu mume kimeo
I support you...hatuwezi jua nini shida kwenye hili swala. Yawezekana jamaa pigapiga nje sana mpaka mayai yanamuishia kutunga mtoto.
 
VC, the font size and colors tell alot... but that why i like this forum!! agreeing to disagree and learning from each other

My first bullet point says it all... I acknowledged the "two wrongs"!! which means i didnt differentiate the two mistakes... and that is why why i didnt condone mwanaume ila nimesema mwongozo wa muosha huoshwa!! its like if you do me i do you... yaani kama mke wangu akicheat basi na mimi ni-cheat!!! its not a way to raise our kids and community because it doesnt end there, it goes to arguing, fighting, stealing and everything relating to community life

If you have noted anywhere nimesupport tendo la mwanaume kwenye hii thread, niambie na nitaomba msamaha... otherwise wewe unanipa depression kwa kukubali dhana ya "do me do you" muosha huoshwa ambayo inatranslate kwa kila kitu katika jamii na si mapenzi tu!!

I believe in understanding although i may not be practicing everyday because I am a human and what i saw is what i took from your post... and i am not in favor of muosha huoshwa, i remember i commented on this once a few months ago on another thread

Understood.
Its a challenge really when it comes to discussing issues such as this.Misunderstandings are bound to happen but this shouldnt keep us from participating in such discussions.

It is through dialogues that we may make a difference in terms of shaping the thinking of our society as regards to how we should solve everyday problems and what kind of behavious that should be abhorred by all.
 
Aiyah! Hiyo ni khatari kubwa bibiye na ni bora usingefanya hivo, maana huo ni sawa na mwendo wa jino kwa jino, mh! Na mlume ndago hutamweza mkipitisha hiyo tabia, maana ataja kuletea hadi ndani kwako weye ukalala pembeni ukitazama ligwaride, jitume mama, usikate tamaa, hako ka kaka sugar katakupoteza tu,nako kapo hapo kimachale zaidi, si kana demu wakee! Kanachota hapoo kahamishiee kulee, achannna nnayee, mshike mumeo mamaa! Wafwaaaa!
 
Tunapojadili ufisadi wa wanasiasa na viongozi sijaona hata mahali pamoja akatokezea mtu na kuthubutu kuandika kushabikia ufisadi/wizi au rushwa akaungwa mkono.Lakini inapotokea ufisadi huohuo ila wa mapenzi basi hapa kuna migawanyiko.Kama kweli tunataka kurekebisha jamii zetu tuanzie ngazi za familia zetu.

Nenda kule kwenye siasa na utafute mada ya Mponjoli (azidi) kupata wakati mgumu uone jinsi watu walivyokuwa wanaunga mkono tabia/ mazoea yake ya wizi.

Ila nitofautiane na wewe kwenye hili la ufisadi wa mali na rasilimali za umma na hili unaloliita ufisadi wa kimapenzi. Ufisadi wa mapenzi ni wa kibinafsi na tulio wengi hautuhusu. Watu na makubaliano yao ya jinsi ya uhusiano wao ulivyo haudhuru maisha na maslahi ya wengi. Na hakika mitazamo ya watu kuhusiana na mambo ya watu wengine ya kimapenzi hayana uhusiano wowote na mambo yenye maslahi ya kitaifa.

Mtu anayeiba hela zilizokuwa earmarked kununulia madawa hospitalini au kununulia vifaa mashuleni si sawa na mtu anayemuibia mkewe au mumewe. Mtu anayefuja hela za walipa kodi na kujitajirisha mwenyewe basi ubadhirifu wake huo unatuhusu wote tunaolipa kodi. Mtu huyo huyo kama sio mbadhirifu wa fedha zetu walipa kodi lakini si mwaminifu kwa mkewe au mumewe, heck, it's none of our business, really.

Kuna mifano mingi tu ya viongozi mbalimbali duniani tena kwenye nchi zisizo na ufisadi uliokithiri kama kwetu ambapo viongozi hao walikumbwa na kashfa za ngono lakini watu hawakujali sana kwa sababu kashfa hizo hazikuathiri utendaji wao wa kazi na hazikuhusisha wala kuhatarisha maslahi ya kitaifa (ya wengi).

Kwa hiyo sioni ubaya wowote kuwepo kwa mgawanyiko wa kimaoni kuhusiana na huo ufisadi wa kimapenzi. Hamna kanuni yoyote inayovunjwa hapo kama ilivyo kwa watu wapingao ufisadi wa mali za umma lakini kwa wakati huo huo kumuunga mkono Mponjoli ambaye ni mwizi kama walivyo mafisadi wa mali za umma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom