Kuna habari nyingine ambazo zinachochea migogoro zaidi. Kafulila ni mwanasiasa mchanga, nadhani hajui siasa ni nini. Kwa mwendo anaokwenda nao anaweza kujikuta anajimaliza mwenyewe bila kujua.
Tatizo ninaloliona, kijana anataka kuwa kwenye media akifikiri kwamba inampandisha chati, lakini ukweli ni kwamba media inamuongezea maadui badala ya kumjenga.
Ingekuwa ni busara angeenda huko Kigoma Kusini akasema na wananchi wa huko ambao ndiyo wapiga kura wake. Kuweka habari hizi kwenye magazeti ni kama vile anatumia jina la Zitto kuomba aungwe mkono na supporters wa CHADEMA jimboni. Pia in a way, ni kama anamchonganisha Zitto na CHADEMA.
Anaongelea kuchukua jimbo wakati serikali za mitaa viti 20 vimeenda CCM, na wao (CHADEMA + NCCR) walipata viti 23, je ana uhakika gani kwamba waliopigia kura CHADEMA na NCCR wote watampa kura yeye?
Hakutakiwa ku-reveal details za hiyo safari yake wala support anayoipata toka kwa Zitto. Pili, kutoa habari kama hiyo kunamfanya ajiweke kwenye mazingira ya utata kwa kuwa aligoma kurudisha kadi ya CHADEMA (kama taarifa hizo zilikuwa sahihi). Je, ana uhakika gani kwamba NCCR-Mageuzi watampa nafasi ya kugombea kwenye hilo jimbo? Asije akashangaa ikifika wakati wa uteuzi wakamtema kwa sababu nyepesi sana kwamba hawana imani naye.
Zitto, mshauri rafiki yako kwamba kwenye siasa na hasa kabla hujajenga jina unatakiwa kuwa makini sana. Jina linajengwa kuanzia jimboni kwako na siyo kuanzia kwenye magazeti. Wanaopiga kura ni wananchi wa jimboni, sio sisi wasoma magazeti. Hizo habari za kwenye magazeti zinatoa mwanya wa wapinzani wengine wanaonyemelea hilo jimbo kutafuta njia za kukumaliza kirahisi zaidi.
Atakuja kushangaa atakapokuja kujikuta jina lake limepigwa red na chama chake na wala asijue ilikuwaje. Kwani aliyegombea Ubunge 2005 kupitia NCCR amesema hataki tena kugombea?
Hizi siasa za kwenye magazeti tuwaachie wenyewe wanaojua, wengine naona tunazivamia tu bila kujua how to play the dirty game. Mimi sikumfahamu Zitto wala Mnyika kabla ya uchaguzi wa 2005, nimemfahamu Zitto baada ya kushinda na pia Mnyika nimemfahamu baada ya kuitikisa CCM jimboni Ubungo.
Kwa hiyo a good starting point ni sera zake huko jimboni kwake na siyo publicity kwenye magazeti. Atajimaliza kirahisi sana. Akomae na wapiga kura wa jimbo lake maana ndio watakaomchagua, sisi wengine ni wapiga domo tu.
Pia inahitaji understanding ya hali ya juu na ukomavu wa kisiasa CHADEMA kumwelewa Zitto kwamba hana nia ya kukihujumu chama chake. Pamoja na kwamba lengo ni kuimarisha upinzani, lakini ushirikiano wa dhati kati ya vyama vya upinzani haupo, wao wenyewe wanaonana kama maadui, lakini at personal level watu wanaweza kushirikiana lakini kwa njia za kimya kimya na siyo kuropoka magazetini kama jinsi dogo Kafulila anavyofanya.
CCM haina haja ya mazagazaga toka katika vyama pinzani, ila pale wanapokili kuwa kuwepo kwao katika upinzani kulitokana na ulimbukeni wao wa siasa hukaribishwa na kupigwa msasa ili waendane vema na kanuni za CCMCCM wapo kazini. NCCR inatumika kuwadaka watu ambao ni tishio kwa ccm halafu inawamaliza na kuvuruga mamba mwishoni. Kafulila aangalie yasijemtokea ya Mrema, kina Marando bado wako kazini.
Atakuja kushangaa atakapokuja kujikuta jina lake limepigwa red na chama chake na wala asijue ilikuwaje. Kwani aliyegombea Ubunge 2005 kupitia NCCR amesema hataki tena kugombea?
Mnapoteza maana ya demokrasia.... kama wapinzani wanaungana mkono kuiondoa CCM madarakani, kinawauma nini? Wawe wa CUF, CHADEMA, TLP au NCCR, wakiungana na kusaidiana, kuna tatizo? Mimi namuunga mkono Zitto kwa kumsaidia Kafulila, kwa kuwa ametamka wazi malengo yake... wapinzani walipokuwa wanahasimiana, mlilalamika. Sasa wanaungana, mnalalamika tena? MNATAKA NINI ninyi binadam MSIOTOSHEKA? Mkiletewa mvua, mnalalamika, mnataka jua! Mkiletewa jua, mnalalamika, mnataka mvua! Waacheni waungane!
Hongera Zitto na Kafulila kwa kuweka MFANO BORA wa ushirikiano katika mapinduzi ya kisiasa nchini! Na wengine nao wafuate mfano wenu!
./Mwana wa Haki
Kuna habari nyingine ambazo zinachochea migogoro zaidi. Kafulila ni mwanasiasa mchanga, nadhani hajui siasa ni nini. Kwa mwendo anaokwenda nao anaweza kujikuta anajimaliza mwenyewe bila kujua.
Tatizo ninaloliona, kijana anataka kuwa kwenye media akifikiri kwamba inampandisha chati, lakini ukweli ni kwamba media inamuongezea maadui badala ya kumjenga.
Ingekuwa ni busara angeenda huko Kigoma Kusini akasema na wananchi wa huko ambao ndiyo wapiga kura wake. Kuweka habari hizi kwenye magazeti ni kama vile anatumia jina la Zitto kuomba aungwe mkono na supporters wa CHADEMA jimboni. Pia in a way, ni kama anamchonganisha Zitto na CHADEMA.
Anaongelea kuchukua jimbo wakati serikali za mitaa viti 20 vimeenda CCM, na wao (CHADEMA + NCCR) walipata viti 23, je ana uhakika gani kwamba waliopigia kura CHADEMA na NCCR wote watampa kura yeye?
Hakutakiwa ku-reveal details za hiyo safari yake wala support anayoipata toka kwa Zitto. Pili, kutoa habari kama hiyo kunamfanya ajiweke kwenye mazingira ya utata kwa kuwa aligoma kurudisha kadi ya CHADEMA (kama taarifa hizo zilikuwa sahihi). Je, ana uhakika gani kwamba NCCR-Mageuzi watampa nafasi ya kugombea kwenye hilo jimbo? Asije akashangaa ikifika wakati wa uteuzi wakamtema kwa sababu nyepesi sana kwamba hawana imani naye.
Zitto, mshauri rafiki yako kwamba kwenye siasa na hasa kabla hujajenga jina unatakiwa kuwa makini sana. Jina linajengwa kuanzia jimboni kwako na siyo kuanzia kwenye magazeti. Wanaopiga kura ni wananchi wa jimboni, sio sisi wasoma magazeti. Hizo habari za kwenye magazeti zinatoa mwanya wa wapinzani wengine wanaonyemelea hilo jimbo kutafuta njia za kukumaliza kirahisi zaidi.
Atakuja kushangaa atakapokuja kujikuta jina lake limepigwa red na chama chake na wala asijue ilikuwaje. Kwani aliyegombea Ubunge 2005 kupitia NCCR amesema hataki tena kugombea?
Hizi siasa za kwenye magazeti tuwaachie wenyewe wanaojua, wengine naona tunazivamia tu bila kujua how to play the dirty game. Mimi sikumfahamu Zitto wala Mnyika kabla ya uchaguzi wa 2005, nimemfahamu Zitto baada ya kushinda na pia Mnyika nimemfahamu baada ya kuitikisa CCM jimboni Ubungo.
Kwa hiyo a good starting point ni sera zake huko jimboni kwake na siyo publicity kwenye magazeti. Atajimaliza kirahisi sana. Akomae na wapiga kura wa jimbo lake maana ndio watakaomchagua, sisi wengine ni wapiga domo tu.
Pia inahitaji understanding ya hali ya juu na ukomavu wa kisiasa CHADEMA kumwelewa Zitto kwamba hana nia ya kukihujumu chama chake. Pamoja na kwamba lengo ni kuimarisha upinzani, lakini ushirikiano wa dhati kati ya vyama vya upinzani haupo, wao wenyewe wanaonana kama maadui, lakini at personal level watu wanaweza kushirikiana lakini kwa njia za kimya kimya na siyo kuropoka magazetini kama jinsi dogo Kafulila anavyofanya.
Ule wimbo wa Jay Z fet Rihanna unaitwaje? Nataka kui search niupige!!
NO,
Zitto yuko njiani kuelekea CCM.
and
Hell NO
Zitto ndiye amekutana na moto hadi anatishia kujiondoa JF. Ha ha ha, who is smiling now - burger king or McDonald?
Hapa hakuna kilichokosewa, ni kweli Zitto amempa gari Kafulila ili aweze kushinda ubunge kupitia NCCR mageuzi, hili ni jambo jema, lengo hapa ni kuunganisha nguvu ili kuiondoa CCM, na Zitto kafanya hivyo, kosa lake niniHabari hii imeelemewa na cheche za kishabiki za mwandishi kuliko uhalisia wake. Kwa mtu yeyote mwenye uwezo wa kupambanua atagundua kuwa kwa asilimia 75 ya hii habari ni maoni(mtizamo) binafsi wa mwandishi. Mapendekezo yangu kwa hii habari ingepewa heading 'NIONAVYO MIMI'
Upi huo mkuu "We run this Town" ama?
Ni kweli wakuu, mikakati ya NCCR-Mageuzi kuelekea 2010 ni mikali na ina kasi ya kutisha. Inashangaza pia nguvu hii inatoka wapi.. huenda si ndani bali nje. Mtakumbuka Mhe. Mbatia amekaa nje ya nchi kwa miaka miwili mfululizo (alikuwa anakuja bongo kwa kubip) alichokuwa akifanya huko, ati shule, lakini tokea arudi rasmi mwezi Agosti, mambo yanabadilika. Si ajabu akachukua fomu ya kuelekea ikulu mwakani (wakati wenyeviti wenzake wanakimbilia ubunge)!
Wakati huo huo anaandaa safu yake vizuri, vijana kadhaa wa karibu yake wako (kawapeleka) nje wanakula kitabu (possibly na Zitto ni mmoja wao)Tusubiri kuona.