kuhama kwake sidhani kama kutaharibu chochote as long as kwamba nia yake ipo pale pale !
weweeeee watu pipoooooooooo !
Unafiki na Usaliti ni hatari sana kwa maisha ya binadamu. Hata shetani alikuwa anaishi kwa Mungu, alipofanya unafiki na usaliti Mungu alimuamulu akaishi moto. Lakini kwa kuwa alikuwa na wafuasi wake nao wakamfuata na hadi sasa wengine wanamfuata. Hivyo nendeni tu huko mlikojiandalia makazi WASALITI MASALIA.Zitto akihamia chama chochote cha upinzani umaarufu wake utapanda sana na atapata wafuasi wengi wa kumfuata mimi ni mmoja wapo
Tunawahitaji sana member kama hawa jamani............wako wapi jamani?
Wawepotelea wapi jamani?
Ni member muhimu sana jamvini na haswa jukwaa lengwa.
Hakuna mwenye nambari yake?