Imagine ZITTO anahama CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Bluray pllllllliiiiiiiiz

wewe ulikua unabishana na jamaa hapa unamtetea zitto mpaka ukamwita erratic geneous. leo una kana na watu wakauliza mbona uko detered hivyo au unalipwa. if i remember in your own words if only zitto angejua whats best for him ange kuajili.

Haa hii sasa kama ile cimena ya gwyneth paltrow kila siku ni mpya ya jana yote kaya sahau mjomba tafadhali.
 
Headline yenyewe imekaa kishari shari tu ... It is as if Zitto katoa hela kuifadhili NCCR na kumbe anamsaidia Kafulila as a friend, hayo ni mambo personal ya watu 2 walio kwenye vyama tofauti. Kuwa kwenye vyama tofauti haimaanishi kwamba marafiki wanakuwa maadui, labda kama wote wanashindania kitu kimoja, say, wanagombea Jimbo moja kupitia chama kimoja ama vyama tofauti, hapo ndipo mtu anaweza kushangaa ushirikiano wa namna hiyo.
 
You say whatever you want to say but I do remember you sort of cosigning. Specifically sikumbuki title ya thread lakini majadiliano yalikuwa ni ukigeugeu (flip-flopping) wa Zitto. Ipo hapa sehemu...wenye muda kama wakitaka wataifukua.

Hahaaaa,

Kwanza umeanza confidently ukasema nime cosign.

Sasa polepole una backpedal unasema "sort of" cosigning, halafu sio tu huwezi kutoa link ya thread, hukumbuki hata title!

Kama huwezi kuproduce link mimi siwezi kujibishana zaidi na wewe, kwa sababu tutajibizana juu ya nini wakati mambo unayoyasema hata hekaya za Abunuwasi zina afadhali, maana hekaya za Abunuwasi unaweza kuzisoma ukajua maana yake, sasa wewe unakuja na kitu out of thin air halafu unategemea watu wa forum hii wakukubalie?

Kuna vitu vingi Zitto anakubaliana nami, kuna vingine sikubaliani naye.Haina maana nimecosign. Na hata nikikubaliana naye kwenye jambo fulani haina maana siwezi kumpinga kwenye jambo lingine.

Na Zitto fatigue haina maana Zitto ananikera, ina maana nimechoka kila siku kusikia habari za Zitto, ni kandya more towards wandishi than towards Zitto.

Kwamba nyie waandishi hamna kingine zaidi ya Zitto?

Kwa hiyo kama unataka kunionyesha nimeflip flop, theory yako haihold water.

After all, the true hallmark of a genius is to entertain two opposing ideas at the same time. :)

Not to say that I am a genius, at least not in so many words.I have you where I want you huh?

Now coming 360 degree, I did not cosign, and even if I said something that you perceived as cosigning it is quite possible that it was a simple agreement on a specific issue, and even if I truly did cosign you cannot show that, which amounts to no evidence, which amounts to I did not co sign.
 
Ahahahahahahaaa...Zitto fatigue this quick? Aren't you the one who sort of co-signed on his potential? And now you claim Zitto fatigue? Well, you better brace yourself coz he's just getting started. He's not fitting to go away anytime soon.

To me Zitto is an attention ho and he savors the limelight he is in.

Hahaaaa,

Kwanza umeanza confidently ukasema nime cosign.

Sasa polepole una backpedal unasema "sort of" cosigning, halafu sio tu huwezi kutoa link ya thread, hukumbuki hata title!

Wewe ndio hukunisoma vizuri tokea mwanzo. Nimesema "sort of" tokea bandiko langu la kwanza. Hakuna cha backpedalling wala nini. Hayo ni maruweruwe yako tu. Rudi ukurasa wa kwanza ukanisome vizuri. Soma sentensi nzima na si kuishia katikati na kudhani unajua tayari nilichosema au nnachotaka kusema.

Unataka kuniambia umesahau tulipokuwa tunabishana kuhusu ukugeugeu wa Zitto? Mimi siyo kwamba siwezi kutoa link na title, ni kwamba inahitaji muda kwelikweli maana thread za Zitto zipo lukuki humu.
 
Wewe ndio hukunisoma vizuri tokea mwanzo. Nimesema "sort of" tokea bandiko langu la kwanza. Hakuna cha backpedalling wala nini. Hayo ni maruweruwe yako tu. Rudi ukurasa wa kwanza ukanisome vizuri. Soma sentensi nzima na si kuishia katikati na kudhani unajua tayari nilichosema au nnachotaka kusema.

Unataka kuniambia umesahau tulipokuwa tunabishana kuhusu ukugeugeu wa Zitto? Mimi siyo kwamba siwezi kutoa link na title, ni kwamba inahitaji muda kwelikweli maana thread za Zitto zipo lukuki humu.

Nimeshaeleza kuwa, uzuri mmoja wa kuwa objective, kuwa impartial, ni kwamba huwezi kupinga kila kitu anachosema Zitto, na wala huwezi kukubali kila kitu.

Kama wewe umeona mimi kuwa in the same alignment na Zitto kwenye hoja fulani ni "ku cosign" naye sawa.

Lakini mimi nimekupa mfano jinsi Zitto alivyoanza kusikika, kabla hata hajaja kuwa member hapa, nilivyomrarua. Tena nikatoa unabii kama nilioutoa kwa Pinda siku ya kukubali u PM kwenye parliament, nikawaambia watu huyu anavyoanza tu, anaonekana disappointment.

Kuja kuangalia he, kweli.

Akaja Zitto akaleta hoja yake ya ethics hapa, nikawa mtu pekee niliyeichangia kwa kina in my signature toe to toe style, niki quote kila kipengere na kutoa critiques.

Sasa huyu ni mtu niliye cosign naye?
 
Nimeshaeleza kuwa, uzuri mmoja wa kuwa objective, kuwa impartial, ni kwamba huwezi kupinga kila kitu anachosema Zitto, na wala huwezi kukubali kila kitu.

Kama wewe umeona mimi kuwa in the same alignment na Zitto kwenye hoja fulani ni "ku cosign" naye sawa.

Lakini mimi nimekupa mfano jinsi Zitto alivyoanza kusikika, kabla hata hajaja kuwa member hapa, nilivyomrarua. Tena nikatoa unabii kama nilioutoa kwa Pinda siku ya kukubali u PM kwenye parliament, nikawaambia watu huyu anavyoanza tu, anaonekana disappointment.

Kuja kuangalia he, kweli.

Akaja Zitto akaleta hoja yake ya ethics hapa, nikawa mtu pekee niliyeichangia kwa kina in my signature toe to toe style, niki quote kila kipengere na kutoa critiques.

Sasa huyu ni mtu niliye cosign naye?

Mjadala niukumbukao mimi haukuwa kuhusu kukubaliana au kupingana naye katika hoja flani. Kwa mtu yeyote makini, mwenye mawazo huru hawezi kukubaliana na mtu au kupingana na mtu kwa wakati wote kwa asilimia 100.

Mjadala niukumbukao mimi ulikuwa kuhusu leadership skills za Zitto. Mimi nilichukua msimamo wa kwamba mtu kigeugeu si kiongozi mzuri kwa sababu ina call into question his/ her judgement. Wewe kwa upande wako, ulimpamba Zitto na uwezo wake wa uongozi.
 
Mjadala niukumbukao mimi haukuwa kuhusu kukubaliana au kupingana naye katika hoja flani. Kwa mtu yeyote makini, mwenye mawazo huru hawezi kukubaliana na mtu au kupingana na mtu kwa wakati wote kwa asilimia 100.

Mjadala niukumbukao mimi ulikuwa kuhusu leadership skills za Zitto. Mimi nilichukua msimamo wa kwamba mtu kigeugeu si kiongozi mzuri kwa sababu ina call into question his/ her judgement. Wewe kwa upande wako, ulimpamba Zitto na uwezo wake wa uongozi.

Then naweza kusema tulikuwa tunaongelea mtu "kigeugeu" na siyo Zitto per se.

Bottom line unless tunapata thread itakuwa yr word against mine.
 
Du! Kama kweli Zitto anauwezo wa kumpa gari Kafulila, basi huyu kijana kweli ni fisadi. Anapata wapi uwezo wa kumiliki magari yote hayo, wakati hata nyumba ya kulala hana? Acheni kumsingizia Zitto kwa mambo ya hovyo. Kafulila anataka kutumia mgongo wa Zitto kujitafutia umaarufu.
 
zitto zitto zitto!who the hell is he?!?
na aliwaomba post zake muziweke kwenye post ya rev kishoka-DEFINING/UNDERSTANDING ZITTO(alijua kwamba zinaboa)!mbona hamuelewi wakuu?
 
Zitto fatigue has set in here.

Zitto this, Zitto that, give me a break.

Who is Zitto? The Tanzanian Octomom?

Even Octomom took a break from the news.

Bluray, its pathetic!!!

Kuna baadhi ya waandishi na hata baadhi ya viongozi (upinzani na CCM) hata zitto akiwaomba ndoa watakubali

It is so low kwa haya magazeti
 
Vijana Julius na Bluray,
Tafadhali sana, kama hamna la kuchangia kuhusu mada iliyopo, basi hamishieni hiyo mipasho yenu kwenye nyepesi-nyepesi/ udaku/ uzushi forums maana humu mnaharibu ladha ya majadiliano na kujaza kurasa bila sababu.
 
Bluray, its pathetic!!!

Kuna baadhi ya waandishi na hata baadhi ya viongozi (upinzani na CCM) hata zitto akiwaomba ndoa watakubali

It is so low kwa haya magazeti
eeh!
HATARI
 
Vijana Julius na Bluray,
Tafadhali sana, kama hamna la kuchangia kuhusu mada iliyopo, basi hamishieni hiyo mipasho yenu kwenye nyepesi-nyepesi/ udaku/ uzushi forums maana humu mnaharibu ladha ya majadiliano na kujaza kurasa bila sababu.
HAMA WEWE BANA!hawa wanabishana materially!
we vipi?
 
"Kimsingi Kigoma yote hakuna mwanachama wa Chadema aliyefurahishwa na kitendo kilichofanywa na viongozi wa chama hicho kuwaengua na wote wana hamu kubwa kumsikiliza Kafulila".

Alisema katika ziara hiyo, wanachama hao wanatarajia kurudisha kadi za Chadema na kujiunga rasmi na chama cha NCCR-Mageuzi.

Yule Bwana Mdogo aliyesema CHADEMA shwari itabidi aje kutufahamisha huo ushwari uko wapi kama wanachama wanataka kurudisha kadi kwa mamia kama sio maelfu.
 
eeh!
HATARI

Mkuu Geoff, wewe angalia obsessive scenarios ni zitto asubuhi mpaka asubuhi!! Think about it we are slowly acquiring British bull-shit ya ku-dwell na kitu kimoja mpaka inaboa
 
Habari hizo zilidai kuwa katika mazungumzo hayo, Dk Slaa alisema kitendo cha Mbowe kumtaka atekeleze agizo lake la kuwafuta uanachama Kafulila na Juju amemfanya aeleweke vibaya kwa watu wake wa karibu.

Habari zilifafanua kuwa Dk Slaa alimweleza Mbowe kuwa shughuli nyingi ndani ya chama hicho anazifanya kwa kujitolea na kwamba kama ni Ubunge angeweza kuupata hata kama angekuwa mwanachama wa chama kingine na kusisitiza kuwa anayoshutumiwa na watu kuhusu uamuzi wa kuwavua nyadhifa Kafulila na Juju aliujua kabla.

Huyu Dr. Slaa anatia aibu. Yeye na utu uzima wake, Ph.D yake na umaarufu wake anapelekeshwa na form six failure? Amekwisha huyu, siku zake zinahesabika.
 
Vijana Julius na Bluray,
Tafadhali sana, kama hamna la kuchangia kuhusu mada iliyopo, basi hamishieni hiyo mipasho yenu kwenye nyepesi-nyepesi/ udaku/ uzushi forums maana humu mnaharibu ladha ya majadiliano na kujaza kurasa bila sababu.

Kasema nani?
 
CHADEMA ..... wanachama wanataka kurudisha kadi kwa mamia kama sio maelfu.

Mkuu nadhani huwezi kuweka conclusion kwenye hilo, kwani wanasema wanachama watarudisha kadi lakini bado hawajarudisha kadi, hatujui mtu ametumia kigezo gani kupima kuwa mamia wataudisha hizo kadi na pia kama kweli litatokea hilo kwa hiyo hakuna haja ya mtu kuja kueleza lolote hapa kwani hakuna aliyerudisha kadi bado kwa maana hiyo ni sahihi kusema CHADEMA Kigoma Bado shwari maana hatuna evidence bado
 
Sijui itakuwaje siku Lowassa au Mwakyembe anamfadhili Mnyika jimbo la Ubungo, je kutakalika ?
 
Sijui itakuwaje siku Lowassa au Mwakyembe anamfadhili Mnyika jimbo la Ubungo, je kutakalika ?

Lazima tukubali kuwa kuna watu wanaweza kufanya wanaovyotaka kwenye game pamoja na maelekezo ya Coach. Kocha anaweza kuwaambia wachezaji wapokea mpira ni pass hakuna kuvuta wala chenga lakini kuna wachezaji wanaojiamini na wenye kipaji wanaaminika na timu wanajua kamwe hawatakuja kutolewa wnacheza wanavyotaka.

Leo Hii RA, EL, wanaweza kufamfadhiri Mnyika, moto utakao waka hautakuwa CCM bali wapinzani ndio watakao aanza kuraluana na makucha wakiulizana kwanini umefadhiriwa na EL au RA, kwasababu RA na EL ni vigogo wasioweza kuguswa ndani ya CCM. si unaona sasa hivi magazeti yao yameandika vizuri kuhusu Zitto, umeona kuna maneno CCM? maneno yapo kwa wanachama wa CHADEMA

Zitto kutoa magari kumfadhiri Kafulila anfanya hivyo anajiamini, kwani anajua asset alizowekeza ndani ya CHADEMA, hawawezi kumgusa, si waliona moto wake walipomkataza kugombea uenyekiti ha ha ha Lakini shida inakuja kwa Kafulila na NCCR-Mageuzi, Je urafiki wa Kafulila na Zitto utadumu kwa muda gani? Hautahatarisha nafasi ya Kafulila ndani ya NCCR-Mageuzi huko Mbeleni.

BInafsi naona kufufuka kwa NCCR-Mageuzi, si Ajabu siku mkasikia Mh. Zitto anaongoza NCCR -Mageuzi na wana rudi kwenye nafasi yao ya 1995 and beyond, wee tusubiri, hili fukuto la CHADEMA halitazima hivi hivi let 2011 come (uchaguzi upite)
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom