Lazima tukubali kuwa kuna watu wanaweza kufanya wanaovyotaka kwenye game pamoja na maelekezo ya Coach. Kocha anaweza kuwaambia wachezaji wapokea mpira ni pass hakuna kuvuta wala chenga lakini kuna wachezaji wanaojiamini na wenye kipaji wanaaminika na timu wanajua kamwe hawatakuja kutolewa wnacheza wanavyotaka.
Leo Hii RA, EL, wanaweza kufamfadhiri Mnyika, moto utakao waka hautakuwa CCM bali wapinzani ndio watakao aanza kuraluana na makucha wakiulizana kwanini umefadhiriwa na EL au RA, kwasababu RA na EL ni vigogo wasioweza kuguswa ndani ya CCM. si unaona sasa hivi magazeti yao yameandika vizuri kuhusu Zitto, umeona kuna maneno CCM? maneno yapo kwa wanachama wa CHADEMA
Zitto kutoa magari kumfadhiri Kafulila anfanya hivyo anajiamini, kwani anajua asset alizowekeza ndani ya CHADEMA, hawawezi kumgusa, si waliona moto wake walipomkataza kugombea uenyekiti ha ha ha Lakini shida inakuja kwa Kafulila na NCCR-Mageuzi, Je urafiki wa Kafulila na Zitto utadumu kwa muda gani? Hautahatarisha nafasi ya Kafulila ndani ya NCCR-Mageuzi huko Mbeleni.
BInafsi naona kufufuka kwa NCCR-Mageuzi, si Ajabu siku mkasikia Mh. Zitto anaongoza NCCR -Mageuzi na wana rudi kwenye nafasi yao ya 1995 and beyond, wee tusubiri, hili fukuto la CHADEMA halitazima hivi hivi let 2011 come (uchaguzi upite)
NO,
Zitto yuko njiani kuelekea CCM.
and
Hell NO
Zitto ndiye amekutana na moto hadi anatishia kujiondoa JF. Ha ha ha, who is smiling now - burger king or McDonald?