Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
nashukuru,
lakini kwanini anakuwa na moyo mgumu kiasi hicho?hataki kuongea na mimi?ananiambia mimi mbeya?hajui vile amenichoma mkuki moyoni mwangu?
baby boy, take it easy! pole sana na nahic mamii hana moyo mgumu bali ni maneno ya hacra tu yanamponyoka.