NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
...Punda haendi sharti kwa viboko mkuu!! Ukimchekea nyani utavuna mabua!![/QUOT
Na wewe unaongea hivi probably hujui maana ya ndoa, mke hafukuzwi au kupigwa kisa kanuna babu, kama mkeo wamuona kama punda thats your problem, i belive G married a beautiful woman who is inteligent and she knows what she is doing.
Thanks! Thanks! Carmel, u always give good advice! natamani maneno yako yawe pia kwenye matendo yako. Achana na hao wanaomndanya mpwa atoke mnje sio dawa....