Elections 2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

Walikataa maoni yetu ya katiba mpya tuliyoitaka nasi lazima tuwakatae sio kuja kututawala kidiktater kwa katiba hii mbovu!
 
Nimeisoma ilani ya ccm na kuielewa vyema.
Sina ushabiki lakini hii ikani inaashiria kuandikwa na wataalamu wa serikali.

Mwaka huu ccm imejiepusha kabisa kuahidi vitu vilivyo nje ya ilani kama ukawa wanavyoahidi kuwatoa kina babu seya na magaidi wa uamsho.

Ilani ya ccm inaeleza tulipo na tunapotarajia kwenda...Ilani hii iko measutable na imekaa kimkataba zaidi katiya ccm na wananchi.
 
Nionavyo:
Watanzania tumekwama hapa:
1. Elimu bora, na sio bora elimu kama ccm wanavyofanya. CCM wamechezea sana elimu hapa nchini. Kila kitu kimeparanganyika, kuanzia divisheni faifu. Elimu bora ni 'multiplier effect'
2. Uchumi.
Hapa ndio chimbuko la kuchukiwa CCM, bahati mbaya hawana habari. Uchumi umekufa!

Kama tumekwama kwenye elimu mbona mgombea wa ukawa aliwaambia wananchi wakasome hotuba yake kwenye website ya chama?Aliwapeleka yeye watu darasani?
 
Habarini za jioni wakubwa, kuna hili jambo linanitaiza, nilitegemea magufuli na samia suluhu kwenye kampeni wangenadi katiba mpya iliyopitishwa na bunge maalum la katiba kuwa serikali yao itahakikisha wanaipitisha na kuwa katiba ya Tanzania.

Wapo kimya kwenye hili, kumbe ile katiba ni rasimu ni chafu sana na ilipitishwa katika mazingira ya giza hadi wao wanaonea aibu. Nakumbuka bunge maalum alikuwamo Samia na Magufuli lakini wanaona aibu kuiongelea, CHADEMA,NCCR Mageuzi, CUF, NLD wanaongelea katiba mpya hawa kimya kulikonii

Walichakachua rasimu?
Wanaona haya haoooooooooooooooooooooo?

Na badoooooooo. CCM kujeni hapa mjibu hili
 
Wametuliza mabilioni kwa katiba wanayoshindwa kuiwakilisha kwa wananchi.Waiengelee tuwahoji hizo pesa zetu zilitumika kwa faida gani.Mungu Tanzania yangu tunaiweka mikononi mwako.Tuonee huruma.
 
Katiba ya genge la CCm wanayo na wanasubiri kama watashinda basi ndio itakuwa kimbilio lao la mwanzo,kabla hawajaanza kuchota tena,

Kwa sasa hawathubutu na wameambiwa kuwa wasije wakajaribu hata kiduchu kusema suala la Katiba ,waliepuke kwa hali yeyote ile na kama huamini jaribu kuwauliza huko wanakopita ,utaona watakavyoruka tena wanaweza kukuitia polisi na kukwambia unavuruga kampeni zao ,Katiba ni jambo wanaloliogopa kuliko mambo yote kwa sasa.

Viongozi wa UKAWA walishitue hili tena walishitue kwa nguvu kabisa ,kwani litawaripua akina Makomeo na Samihe Sululu na kuwachawanya vipande vipande. Kwani hawawezi kulizungumza WAMEKATAZWA.

Miccm inaona kama wananchi wamelala na kwa jinsi wanavyofanya kampeni inakuwa kama wanaovizia ,kwa maana muwindwaji ni mwananchi anaehudhuria mikutano ya CCM,sasa hapa likizuka la Katiba na mwananchi kuelewa janja ya CCM ,maana yake CCM watazidi kukimbiwa ,kukimbiwa na wale wananchi waliokuwa wametia nia kuwa KATIBA iliyochomekwa na CCM haipiti ,kuna wananchi inafaa kukumbushwa ,jambo ambalo Miccm hawalitaki lisemwe,
 
Habarini za jioni wakubwa, kuna hili jambo linanitaiza, nilitegemea magufuli na samia suluhu kwenye kampeni wangenadi katiba mpya iliyopitishwa na bunge maalum la katiba kuwa serikali yao itahakikisha wanaipitisha na kuwa katiba ya tanzania. Wapo kimya kwenye hili, kumbe ile katiba ni radimu ni chafu sana na ilipitishwa katika mazingira ya giza hadi wao wanaonea aibu. Nakumbuka bunge maalum alikuwamo samia na magufuli lakini wanaona aibu kuiongelea, chadema,nccr mageuzi, cuf, nld wanaongelea katiba mpya hawa kimya kulikoniiiiiiiiiiiiiiiiii
walichakachua rasimu????
Wanaona haya haoooooooooooooooooooooo??????
na badoooooooo. Ccm kujeni hapa mjibu hili

Vipi UKAWA mbona tena hawainadi katiba ya Warioba?
 
Habarini za jioni wakubwa, kuna hili jambo linanitaiza, nilitegemea magufuli na samia suluhu kwenye kampeni wangenadi katiba mpya iliyopitishwa na bunge maalum la katiba kuwa serikali yao itahakikisha wanaipitisha na kuwa katiba ya tanzania. Wapo kimya kwenye hili, kumbe ile katiba ni radimu ni chafu sana na ilipitishwa katika mazingira ya giza hadi wao wanaonea aibu. Nakumbuka bunge maalum alikuwamo samia na magufuli lakini wanaona aibu kuiongelea, chadema,nccr mageuzi, cuf, nld wanaongelea katiba mpya hawa kimya kulikoniiiiiiiiiiiiiiiiii
walichakachua rasimu????
Wanaona haya haoooooooooooooooooooooo??????
na badoooooooo. Ccm kujeni hapa mjibu hili

Kwanini waongelee katiba mpya wakati inangoja muda ufike ipelekwe kwa wananchi waipigie kura. Unataka wayarudie yale yale yaliyokwisha-pitishwa na BMK.

CCM ina ilani ya uchaguzi na wagombea wanaongelea mambo yaliyopo kwenye ilani ya uchaguzi.
 
Kwanini waongelee katiba mpya wakati inangoja muda ufike ipelekwe kwa wananchi waipigie kura. Unataka wayarudie yale yale yaliyokwisha-pitishwa na BMK.

CCM ina ilani ya uchaguzi na wagombea wanaongelea mambo yaliyopo kwenye ilani ya uchaguzi.

Miaka yote mnakuja na ilani mwaka huu mmekuja na manyang'unya !
 
Nadhani UKAWA hawana kazi sana.
Ni kuongelea katiba ya Warioba tu, kuwa wataipitisha, hapo watakuwa wamemaliza.
Katiba ni zaidi ya Urais, ni zaidi ya uchaguzi
 
Habarini za jioni wakubwa, kuna hili jambo linanitaiza, nilitegemea magufuli na samia suluhu kwenye kampeni wangenadi katiba mpya iliyopitishwa na bunge maalum la katiba kuwa serikali yao itahakikisha wanaipitisha na kuwa katiba ya Tanzania.

Wapo kimya kwenye hili, kumbe ile katiba ni rasimu ni chafu sana na ilipitishwa katika mazingira ya giza hadi wao wanaonea aibu. Nakumbuka bunge maalum alikuwamo Samia na Magufuli lakini wanaona aibu kuiongelea, CHADEMA,NCCR Mageuzi, CUF, NLD wanaongelea katiba mpya hawa kimya kulikonii

Walichakachua rasimu?
Wanaona haya haoooooooooooooooooooooo?

Na badoooooooo. CCM kujeni hapa mjibu hili

Na ni kwanini ukawa wanaogopa agenda ya ufisadi kwenye kampeni zao?
 
Back
Top Bottom