Elections 2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

Hivi vipicha walivyoandaa kwa ajili ya kuweka Instagram haiwezi kuwa ILANI. Wanatakiwa kuwa serious kuliko hivi kama kweli wanataka kuongoza nchi.

Ndio upeo wako ulipoishia? Unataka udanganywe na ukubwa/wingi wa text sio content?
 
ccm huwa hawana utamaduni wa kuyaweka mambo yao hadharani hivyo ni vigumu sana kuipata kwani kufanya hivyo ni sawa na kujiweka uchi kwani daily yale yale yasiyotekelezwa
 
ILANI YA CCM YENYE MIAKA ZAIDI YA 50 IMEWASAIDIA NINI WATANZANIA MASIKINI? Watanzania wanataka Ilani inayotekelezeka na sio iliyojaa ahadi za uongo kama ya CCM
we noma mkuu. yaani una siku 20 humu lakini unapost karibi 1000. kwa wastani wa post 50 kwa siku. kazi unafanya saa ngapi? au mwenzetu hii ndo ajira yako?
 
we noma mkuu. yaani una siku 20 humu lakini unapost karibi 1000. kwa wastani wa post 50 kwa siku. kazi unafanya saa ngapi? au mwenzetu hii ndo ajira yako?

Hii ndio ajira yangu na tunasaidiana lakini hatulipwi elfu 7 kama zile mnazolipwa na Nape.
 
we noma mkuu. yaani una siku 20 humu lakini unapost karibi 1000. kwa wastani wa post 50 kwa siku. kazi unafanya saa ngapi? au mwenzetu hii ndo ajira yako?
Khaa!! Na katika hizo 49 ni za kipumbavu na 1 ni ya kucopy
 
Mkuu,
Kwa sasa nimeipata ya CCM ambayo nimeiambatanisha hapa chini. Za Chadema and ACT bado sijazipata.
 

Attachments

  • ILANI YA CCM 2015.pdf
    3.1 MB · Views: 266
Khaa!! Na katika hizo 49 ni za kipumbavu na 1 ni ya kucopy

Nyie kwajinsi mnavyopenda kuchunguza mambo ra wanaume mnaonekana pia huwa mnamchunguza dingi na mom zenu wakiwa wanatafuta watoto usiku sio bure...
 
mkuu niigie mchongo basi na mimi nitoke!

Endelea kwanza kuwachunguza wanaume na hata mshua wako jinsi anavyolala na m..za ako katika kutafuta watoto utaongezewa elfu 3 kwenye ile hela ya Nape ifike elfu 10.
 
Endelea kwanza kuwachunguza wanaume na hata mshua wako jinsi anavyolala na m..za ako katika kutafuta watoto utaongezewa elfu 3 kwenye ile hela ya Nape ifike elfu 10.
mkuu matusi ya nini? mimi nimekuambia nipe dili na mimi mtanzania mwenzako nitoke kimaisha. shida yangu ni yako pia maana tunasherehekea pamoja, michango ya harusi tunachangiana mpaka na kuzikana. mahosipitalini au mahotelini au madukani hatubaguani. kuna ubaya gani ukinipa mchongo. nishitue mkuu kama na mimi naweza pata chochote.
 
ILANI YA CCM KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2015

1. Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 wa kuwachagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar, Wabunge, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani imeandaliwa ikiwa ni mkataba kati ya CCM na wananchi.


attachment.php


Ilani hii imeandikwa kwa kuzingatia Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025 na Mwelekeo wa Sera za CCM zenye lengo na nia ya kuendelea kuwatumikia wananchi kwa kipindi cha miaka mitano ijayo (2015-2020).

2. Ilani hii ni tamko maalumukwa wapiga kura kuhusu nia ya CCM ya kuendelea kushika dola na kuwaongoza Watanzania kwa njia ya kidemokrasia, na hasa kuendelea kudumisha amani, umoja wa Kitaifa, usawa, ustawi wa wananchi, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa kipindi kingine cha miaka mitano.

3. Nia na uwezo wa CCM wa kuendelea kuongoza Taifa hili unajidhihirisha katika uzoefu ambao tumeupata kwa miaka 38 tangu kuanzishwa kwake na kuwa madarakani, ambapo katika kipindi chote hiki kimeiwezesha nchi yetu kupata mafanikio makubwa katika nyanja za kiuchumi, kisiasa na kijamii.

4. Katika miaka mitano ijayo (2015-2020),CCM ikiwa madarakani,itazielekeza Serikali zake kutumia nguvu zake zote kuendelea kupambana na changamoto kubwa nne:-

Kwanza kuondoa umaskini; pili kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira hasa kwa vijana; tatu kuendeleza vita dhidi ya adui rushwa na ubadhirifu wa mali ya umma; na nne kuendelea kudumisha amani, ulinzi na usalama wa maisha ya wananchi na mali zao.

Soma zaidi: View attachment ilaniyauchaguziccm2015.pdf
 

Attachments

  • CNP1LtAWoAAUbHk.jpg
    CNP1LtAWoAAUbHk.jpg
    49.2 KB · Views: 4,174
ccm hamna ilani. labda rangi ya ccm kwenye kitabu. ilani hiyo mmewaibia cuf ya mwaka 2010
 
Tangu CCM izindue kampeni zake pale Jangwani,sijasikia wakizungumzia katiba mpya.Inaonekana CCM hawana mpango wa kuirekebisha katiba pendekezwa, ambayo haikuzingatia kabisa maoni ya wananchi.

Je? Ndugu Magufuli ataundaje serikali inayojali wanyonge huku katiba yake ni ya hovyo? Naomba wananchi muwaulize kuhusu katiba inayozingatia maoni yenu,kama hawataahidi kuiboresha, basi wapigeni chini mana hata wanayoyasema itakuwa ni uongo kama walivyozoea.
 
Back
Top Bottom