Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Kikwete anatakiwa amtimue salva mara moja; asitake tumpe sababu..
Kwanza kamsemea mambo yake personal ya baadaye, kwa kusema Kikwete hajawahi, na wa wala hatakuja kuwa mmiliki wa Dowans. Amejuaje mipango binafsi ya Kikwete.
Salva sasa ajiangilie na matamshi yake itafika mahala kila mtu ataufahamu uwezo wake kwamba hatakiwi kufanya kazi ikulu na maamlaka husika zikishindwa kumuondoa kutoka katika ikulu ambayo kimsingi ni mali ya wananchi. Hii inaweza kupelekea watu wachukue sheria mikononi kwa kumuadhibu Salva anachefua sana kwanini hataki kukaa kimya ili heshima yake isichakachuliwe?.