Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Ndugu Nsiande,unapotosha mada,ingefaa uweke post yako na utueleze kwa uzuri ili sie watz tusiolewa tujue kila kitu kuhusu dowans. Unasema rais anaweza kumteua mkurugenzi wa tanesco,una maanisha kuwa Board ya Tanesco haina mamlaka kwa ilo?Kila mtu anajua kuwa rais ana power zote na pia hata kutamka Nsiande hakamatwe na kuwekwa kizuizini bila kutoa sababu kwa umma lakini haimaanishi kuwa atatumia iyo power kutenda atakapojisikia sawa mkuu? Alaf kama unasema Dowans unaijua vizuri na wewe ulihusika kwenye Commission,kwa nini usiwe huru kuwataja hata wamiliki?mpaka dr.Slaa aseme. Nyie ndo watu tunaotaka mliongoze taifa lakini mnakaa nyuma ya hoja za watu,je taifa liwaeleweje? Come on,tetea wananchi bila woga!