Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 4,982
- 4,487
- Thread starter
- #941
Huenda ikawa tunawanga pamoja ndio maana unajua kama mimi ni mchawi na mganga vinginevyo huna akili na wewe ni mwenye kuropoka tu kama waropokaji wengine.Mungu ndiye muumba wa mbingu na Nchi na vyote vilivyomo.
Mungu aliweka mipaka, Si vitu vyote vinaruhusiwa kuvifundisha au kuvigusa.
Miti yote Edeni aliumba Yeye bt alizuia mti wa ujuzi wa mema na mabaya usiguswe.
Mungu amekataza kujifunza na kubashiri kupitia nyota.
ELIMU ya Unajimu ni uchawi, Malaika waasi walipotupwa duniani ndo waliwafundisha WANADAMU habari hizo.
Najua unajua nachosema, wewe U Mchawi na Mganga pia.
Pia nimekuuliza swali na jibu lako linatoka nje ya jibu ili uzalishe swali lingine.
Nyota iliyokuwa inachomoza kila siku asubuhi na kuzama jioni ni nyota ya nani? Yaani alikuwa nani na baada ya kuzaliwa ilipotea?
Waliokuwa wanazisoma hizo nyota walikuwa ni wakina nani?
Pia nyota ya nani ilifuatwa hadi bomani kwa nani ikamkuta kazaliwa?
Mbona nyie huwa ni mapunguwani sana hamjielewi kwa yale mnayoongea?
Rakims