Zanta
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,028
- 788
Ha ha ha! Pasco, mbona unatuuzia mbuzi kwenye gunia?
Hayo maswali ni yapi hayo unayodai ulimalizia?
Yana tofauti na hayo ya kwanza, na majibu je ya tofauti?
I am just interested to know ni maswali gani hayo yaliyokufanya usema umebadili mawazo, pia usichanganye ujumbe wa bandiko hili na lets say kwamba sitaki ubadili mawazo yako.
hana lolote huyo Pasco, keshaona kachemka....