Slaa mzee wa visasi, chuki na fitna..
With all due respect brother Pasco, ninachokiona kwenye sred yako na kinachonichekesha ni kwamba (nadhani bila wewe kujijua) umefafanua kwa upana sana na hisia ni namna gani kukosa kwako ile picha ya Dr Slaa akimsalimu/kusalimiana na dr Kikwete...
Sitaki kuamini ndio lililokupeleka Moro hlo mkuu wangu
mbona bosi wake chairman mbowe anakunywa chai na jk kila wakati na hakuna baya lililompata?Askofu Mwingira kashasema J.Kikwete analala na maiti makaburini na kuvaa Pete za majini,kwa hiyo unataka DR. Slaa ajipeleke kichwakichwa kumpa mkono your roving ghost president!?
Update.
Nimekuta na Dr. Slaa mahali na kupata fursa ya kumuuliza yale maswali yangu yaliyobakia.
Amenithibitishia kuwa hajawahi kumkacha Jk hata mara moja, bali imekuwa ikitokea by chances tuu hawajakutana!,
Hivyo ile dhana yangu ya muendelezo wa misuso nimeifuta.
Asanteni kwa kunielewa!.
Pasco!.
Mazishini siyo sehemu ya kuja kusalimiana. Kama JK akitaka kusalimiana na Dr. Slaa amuite Ikulu atakuja lakini si kwa bahati mbaya.
mmh
mbona nimemwona Mbowe akisalimiana na Jk? labda wamesalimiana wakati wewe ukiwa na mishemishe nyingine so hukuweza kuona tukio halisi.
Update.
Nimekuta na Dr. Slaa mahali na kupata fursa ya kumuuliza yale maswali yangu yaliyobakia.
Amenithibitishia kuwa hajawahi kumkacha Jk hata mara moja, bali imekuwa ikitokea by chances tuu hawajakutana!,
Hivyo ile dhana yangu ya muendelezo wa misuso nimeifuta.
Asanteni kwa kunielewa!.
Pasco!.
Ha ha ha! Pasco, mbona unatuuzia mbuzi kwenye gunia?Update.
Nimekuta na Dr. Slaa mahali na kupata fursa ya kumuuliza yale maswali yangu yaliyobakia.
Amenithibitishia kuwa hajawahi kumkacha Jk hata mara moja, bali imekuwa ikitokea by chances tuu hawajakutana!,
Hivyo ile dhana yangu ya muendelezo wa misuso nimeifuta.
Asanteni kwa kunielewa!.
Pasco!.
With all due respect brother Pasco, ninachokiona kwenye sred yako na kinachonichekesha ni kwamba (nadhani bila wewe kujijua) umefafanua kwa upana sana na hisia ni namna gani kukosa kwako ile picha ya Dr Slaa akimsalimu/kusalimiana na dr Kikwete...
Sitaki kuamini ndio lililokupeleka Moro hlo mkuu wangu
Dr. Slaa mwenyewe yuko hapa anafuatilia mjadala..wewe jamaaa sio fix kweli?
siku ingine ukiambiwa we mtoto usichukie......Update.
Nimekuta na Dr. Slaa mahali na kupata fursa ya kumuuliza yale maswali yangu yaliyobakia.
Amenithibitishia kuwa hajawahi kumkacha Jk hata mara moja, bali imekuwa ikitokea by chances tuu hawajakutana!,
Hivyo ile dhana yangu ya muendelezo wa misuso nimeifuta.
Asanteni kwa kunielewa!.
Pasco!.
Naona wezi mmeanza kujihofia.Chadema imejaa wanasiasa wenye misimamo ya ajabu sana. Hana tofauti na Ben Saanane kwa visasi hajambo, muone tu mtanashati na kutabasamu lakini ni balaa.
Hadi sasa naskia hajawahi kukaa meza moja na John Heche kwa kuwa anaamini huyu kabebwa. Huyu ni bingwa wa visasi tangu chuo hasa kwenye masuala ya siasa na ni ngumu sana kumshtukia. Kama Dr.Slaa kafanya hivyo siwezi kushangaa. Watu kama hawa wakishinda urais wa nchi kuna watu watanyang'anywa uraia