kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 323
Kuna watu wanaongea kwa machuuungu kujaribu kuonesha kuwa Kikwete kafanya jambo la maana saaana kwenda msibani. Hivi kuna msiba ambao kikwete haendi? Hebu muacheni jamani, hata na yeye anachoka kukaa magogoni na tausi bila kazi yeyote na ukizingatia tusafari twa nje wenyeji wamemchoka. Bora alivyoenda zake Moro kusafisha macho
Noo Mkuu,Washika masikio wamemtonya Hotuba/Mialiko kwenye majanga na misiba itamuweka jirani na kupunguza gape ya chuki kwa WATANGANYIKA