hapo na wewe utakuwa umetumia kalio la kulia au vipi?
naibu spika anatumia kalio!
jeykey hutaki nini wakati wewe muda woote unafikilia kwa kutumia KARIO, bora yangekuwa mawili sasa ni moja!na wewe utakuwa umejitahidi maana umetumia kalio la kulia
labda wale wabunge wakike wanatumia ma'lakes (maziwa) kufikiri, halafu wale wakiume wanatumia ma''korod''''ani , then kwa umoja wao ndo wanatumia ma''sitting
Jeykey asante sana kweli nimecheka hadi ofisini wameshtuka, asante sana yaani siku imekua nzuri sana kwa ajili ya topic ya makalio.....haya bhana tufanye umeshinda, yaishe bhana ila naona kama vile kalio la kulia lina afadhali kidogo kuilko la kushoto, ntakupa sababu
<br />Jeykey asante sana kweli nimecheka hadi ofisini wameshtuka, asante sana yaani siku imekua nzuri sana kwa ajili ya topic ya makalio.....haya bhana tufanye umeshinda, yaishe bhana ila naona kama vile kalio la kulia lina afadhali kidogo kuilko la kushoto, ntakupa sababu
Mosie baba, aho uzaaonga kwei maaaha, mahundo yangwei mgoshi
<br />Mbunge wa Kinondoni, akomba mwongozo kuhusu kauli aliyotoa meya wa Dar kuhusu UDA kwamba kuna wabunge wanafikiri kwa makalio na sio akili.<br />
<br />
Amesema kauli hiyo inadhalilisha bunge zima na imetolewa na kiongozi mkubwa. Amehoji ni hatua gani ichukuliwe
<br />makinda katoa majibu ya mwongozo??
la kushoto litakuwa linacheza sindimba