Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli wanafiikiri kwa kutumia hiyo kitu ndo maana mambo yanaenda yanavoenda..tete ehhe
Mbunge wa Kinondoni, akomba mwongozo kuhusu kauli aliyotoa meya wa Dar kuhusu UDA kwamba kuna wabunge wanafikiri kwa makalio na sio akili.
Amesema kauli hiyo inadhalilisha bunge zima na imetolewa na kiongozi mkubwa. Amehoji ni hatua gani ichukuliwe
Mbunge wa Kinondoni, akiomba mwongozo kuhusu kauli aliyotoa Meya wa Dar kuhusu UDA kwamba kuna wabunge wanafikiri kwa makalio na sio akili.
Amesema kauli hiyo inadhalilisha bunge zima na imetolewa na kiongozi mkubwa. Amehoji ni hatua gani ichukuliwe
anafikiria kwa kutumia makalio naye yule.. leo hayupo hapa .. hana mafuta ya kwenda kazini uvccm kwenye internet ..kazi yake ni kujibizana an watu hapa JFfaizafox sijui yuko wapi leo,yeye sijui huwa anafikiri kwa nini
Nadhani huyo spika ndiye anaefikiria kutumia makalio zaidi hata kuliko wabunge hao wakeSpika anaongoza watu wanaofikiri kwa makalio......bado napita tu
<br />Duh, hili mbona kubwa sana litakuwa la yupi sasa mmojawapo?? kweli hapo ndio kuna fikra hapooo mmmh sidhani
<br />Iundwe tume kuchunguza hili suala kwa wale watakaobisha kuwa hawafikirii kwa kutumia makalio uchunguzi wa kina ufanyike kwenye makalio yao ili kuthibisha vinginevyo, tunaomba ushirikiano wao.
<br />jamani je waheshimiwa wanaolala ni kiungo gani kinakuwa busy nadhani ni hiki kilichotajwa na mstahiki teetee hee waheshimiwa kwanini mmepanda ndege ya barrick kweli mmetumia busara?