Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Jamani natamani ningerudi kama zamani...
Mkuu 'PCM' amelalamika kuwa siku hizi nimebadilika, mpaka akadhani kuna mtu ame-hack ID yangu.
Wakati najiunga JF, takribani mwaka mmoja uliopita, nilikuwa mstaarabu sana, coment zangu zilikuwa za kujenga, hakuna hata siku moja niliyokejeliwa kwa joindate yangu, unlike member wengi wapya.
Lakini kuanzia mwezi June mwaka jana, nikabadilika ghafla, nimepata ban 3 mpaka sasa hivi, ya mwezi, wiki na miezi minne. Hii kubwa nimeitumikia kwa mwezi na nusu, nikamwomba ROBOT akanifungulia,
ashukuriwe sana.
Nimekosa uvumilivu kabisa, nahisi na busara zimepungua, sijui ni nini bhandugu?
Wana-MMU?
Mnaweza kunisaidia kurudisha ile spirit yenye niliingia nayo JF? Nahitaji sana msaada wenu...
Mkuu 'PCM' amelalamika kuwa siku hizi nimebadilika, mpaka akadhani kuna mtu ame-hack ID yangu.
Wakati najiunga JF, takribani mwaka mmoja uliopita, nilikuwa mstaarabu sana, coment zangu zilikuwa za kujenga, hakuna hata siku moja niliyokejeliwa kwa joindate yangu, unlike member wengi wapya.
Lakini kuanzia mwezi June mwaka jana, nikabadilika ghafla, nimepata ban 3 mpaka sasa hivi, ya mwezi, wiki na miezi minne. Hii kubwa nimeitumikia kwa mwezi na nusu, nikamwomba ROBOT akanifungulia,
ashukuriwe sana.
Nimekosa uvumilivu kabisa, nahisi na busara zimepungua, sijui ni nini bhandugu?
Wana-MMU?
Mnaweza kunisaidia kurudisha ile spirit yenye niliingia nayo JF? Nahitaji sana msaada wenu...