Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Jamani habari,
Mie ni kijana mwenzenu nipo kwenye ndoa mwaka wa 2 sasa , lakini sometimes nashindwa kumuelewa wifi yenu/shemeji yenu sijui tatizo ni nini.
Mimi nina bahati mbaya moja kwenye maisha yangu kwamba watu hutokea kuwa karibu na mimi iwe darasani, kazini etc popote ambapo nakaa muda mrefu na watu basi huwa najenga ukaribu japokuwa mimi mwenyewe sijichukulii kama "down to earth" sana na pombe sinywi. (Ila honestly huwa nakuwa close na ladies mara nyingi as friends)
Problem ni wife hataki kabisa niwe na mahusiano ya karibu na jinsia ya kike yani awe colleague wa kazini au ofisi yangu ya zamani au evening class au whatever. Napata wakati mgumu coz hata wakipiga simu inabidi nianze ku explain "who is this " , "why she is calling" ,etc na kama ni new friend na ni binti basi kasheshe kabisa.
Wenzangu mna handle vipi hizi situation coz as the days go by she is becoming more and more possessive na inaweza kunifanya nitengwe na jamii inayonizunguka and she thinks she is doing the right thing.
Mkuu nahisi you are possesed with dimons/evil spirit. Ukisoma mithali unaambiwa mwnamke mpumbavu anabomoa nyumba yake kwa mikono yake (tune this to yourself). Hao unaowaita marafiki wa kike unahisi ni wazuri kwako?
Nakatiza nikiendelea naweza kukutolea maneno machafu zaidi. Ushauri achana na wanawake hao siyo wazuri kwako! soon utaamini kile mkeo anachokuzuia.