Duh hivi it reach a step maisha yanakuwa hivi? Ndoa ndoano
Mokoyo ndiko anakoipeleka ndoa yake
We unafikiri mke wake akichoka atafanyaje
na yeye si atatafuta mtu wa kumpa kampani usiku
nae awe anapigiwa simu na kupewa maneno mazuri
Ndo hapo utakaposhangaa mkeo anasema aise piga baadae au kata subiri nikupigie hili lijamaa liko hapa