mimi huwa naamini sifa kuu ya mwanaume ni kuwa na busara na hekima/wisdom.napenda mwanaume anaeishi kiume.
sidhani kama mwanaume ambae ana busara anaweza kuwa tu anachatichati na maledies ovyo khaaa????
Halafu chating za usiku au baada ya kazi au darasani wakati una mke anakuangalia tuu ulivyo busy na simu
Yeye hata nafasi ya kuongea na wewe hana
Mmeshindfa mchana kutwa bila kuonana na ule muda anaopaswa awe na wewe uko busy na kisimu unachat na kuongea
Mimi nikifika home huwa sihanagaiki na kuzima simu naiweka mahali ambapo sitaikumbuka na hata marafiki na wafanyakazi wanajua muda wa kutuma ujumbe wao au kuchat na mimi
Nikishafika home simu na mimi ni mbalimbali ni muda wa kuwa na wife na watoto
Biashara ya kuambiwa aise lile file liko wapi baada ya muda wa kazi huwa halipo