sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
iyo avatar yako loh?
Lol,smile,najaribu kudumisha tabasamu my dear
iyo avatar yako loh?
inategemea kipindi cha uchumba ulihandle vipi hizo calls na marafiki zako hasa wa kike, kama kuna mabadiliko lazima ang'ake. so chagua mawili - either to keep on your friends au kusahau na ku-concetrate na ndoa yako. mimi nina simu private naiita jina "kimeo" yenyewe muda wote ipo kwenye gari langu pake kwa dashboard, ina number zote za vimeo vyangu na old school friends wa kike wamo kibao. hakuna kiumbe anaijua: usifuate ushauri wangu.
U r my role model :lol::lol:
PM
Jamani hii private msg inafanyaje kazi coz nikitaka kutuma inaweka jina langu mwenyewe :lol:
PM
Jamani hii private msg inafanyaje kazi coz nikitaka kutuma inaweka jina langu mwenyewe :lol:
Hahaha brother Rocky its all in the name of love :lol::lol::lol:
Inawezekana wakati najisajili sikuomba hiyo huduma labda ndio inakuwa problemo au kuna namba ya posts zikifika ndio inakuwa active?
Jamani habari,
Mie ni kijana mwenzenu nipo kwenye ndoa mwaka wa 2 sasa , lakini sometimes nashindwa kumuelewa wifi yenu/shemeji yenu sijui tatizo ni nini.
Mimi nina bahati mbaya moja kwenye maisha yangu kwamba watu hutokea kuwa karibu na mimi iwe darasani, kazini etc popote ambapo nakaa muda mrefu na watu basi huwa najenga ukaribu japokuwa mimi mwenyewe sijichukulii kama "down to earth" sana na pombe sinywi. (Ila honestly huwa nakuwa close na ladies mara nyingi as friends)
Problem ni wife hataki kabisa niwe na mahusiano ya karibu na jinsia ya kike yani awe colleague wa kazini au ofisi yangu ya zamani au evening class au whatever. Napata wakati mgumu coz hata wakipiga simu inabidi nianze ku explain "who is this " , "why she is calling" ,etc na kama ni new friend na ni binti basi kasheshe kabisa.
Wenzangu mna handle vipi hizi situation coz as the days go by she is becoming more and more possessive na inaweza kunifanya nitengwe na jamii inayonizunguka and she thinks she is doing the right thing.
In the name of love? Just do it to your wife and kid if you have one
Huduma ya PM haiomb wi wala sio mpaka ufikishe post kadhaa
Ila mkuu naona mambo yako moto sana
Huku inawezekana nako kuna mmoja unataka umuendee hewani kupitia PM
Hongera sana ila hizo speed ungezielekeza kwa wife ungekuwa mume bora sana
Hahaha
Hii huduma ipo watu wengine wanaitumia kwanini atleast nisi test nione kama inafanya kazi:lol:
Problem ya hii huduma u have to handle with care unaweza kujifanya pimp ukam pm wife ukaishia kulala sebuleni
Mimi ninataka kuwasiliana na mkuu wa kaya hapa through this huduma
Basi hii system itakuwa smart sana coz i think ina sensors
teh teh teh anyways
Nime notice hapa kuna tangazo ya tigo na zain at the same time i think its not rite